Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Unaweza dhanii utapigiwa pasii na kuandaliwa chakula mezaniii wee thubutuuuuu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Labda kama hamjawahi kuishi kisela pamoja kabla ya kuoanaa..!! Hela mwanamke itabaki kuwa chungu mpaka kiamaaa hata 500 ya chumvi utaaambiwa utoee they are just selfish kwa kigezo mwanaume inabdi Uhudumie familia.
 
KUNA ULAZIMA WA KUWEPO SHERIA YA NDOA ZA MIKATABA TANZANIA,NDOA NI ZAIDI YA MATESO
View attachment 2969233
siyo zote ni mateso mkuu,kinachotakiwa ni kwamba ukioa au kuolewa kubali kubadirika.
kuna watu wanataka waishi kama bado wapo single kumbe wameishaoa au kuolewa na hapo ndo utaona kila rangi.

mfano mimi kabla ya kuoa nilikuwa naishi na kijana mwenzangu maisha ya kisera,
tukinunua mkate tunakatiana kila mtu anashika nusu
tunamimina chai kwenye vikombe kutoka sufuriani,tunapiga sometimes tumesimama
tukimaliza tunasepa zetu.

Baada ya kuoa,mke wangu akawa anacchukua mkate anaukatakata
anaweka kwenye sahani na chai inawekwa kwenye birika,anaweka mezani
nikamwambia huoni unapoteza muda,akanijibu kwa hekima
watu wakikuta unakunywa chai kama zamani watanidharau mimi kwamba sijatimiza wajibu wangu,
ikabidi niwe mpole maisha yakasonga.
 
Hivi viingereza ndo vinapelekea wakenya watucheke, bora uandike kiswahili tu.
Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am keen enough to learn from you guys
 
Nilijua siku zote za maisha yetu atakuwa ananipa ATM card yake nikamtolee pesa bank.Maisha yanabadirika sana
Yaani wewe ulikuwa unawaza pesa tu na si intimacy between you guys. Kama ulichukulia hivyo naimani sasa upo kwenye makasiriko makubwa kama si kuvurugana na kuachana kabisa...
 
Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am keen enough to learn from you guys
Naanza na hapa ' in which part may be I was not correct grammatically from what I have said earlier?
 
Wewe ndio umeandika hivyo na wala si mimi ? Uzuri wake umenitag, sasa mimi na wewe nani yupo sahihi?😆
Usikimbilie mtumbwi wa vibwengo kama hujui unenalo..
Acha ujanja Fidel, jina lako limenikumbusha jina la mtoto wa raila marehemu Fidel Castro odinga.
 
Back
Top Bottom