Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Afu nna roho mbaya. Nimekufanyia makusudi uchelewe kulala.... nimefanikiwa.

Nikikuambia unanipenda unabisha. sijui ukoje??

Hahahaaaa! Walaaa sio wewe ulofanya nichelewe kulala ni masai dada na mada yake murua, hebu rudi kwenye mada sasa tafadhali, toa experience yako
 
Last edited by a moderator:
Babu mbona unatoka nje ya mada jamani?? Yaani wewe kuchepuka kuko damuni

Mwanaume asiyechepuka ana matatizo.... akiendelea kukua anaweza kuwa hanisi.... (sijasema mimi)
 
Hahahaaaa! Walaaa sio wewe ulofanya nichelewe kulala ni masai dada na mada yake murua, hebu rudi kwenye mada sasa tafadhali, toa experience yako

Umeshaziba pua? Experience yangu ina uhusiano na ushuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…