ngoja nikupe kisa kimoja japo kwa ufupi
wakati nasoma chuo kuna kaka mmoja ki ukweli alikua ni mgentle na alikua kapanga mtaani lakini cha ajabu alikuwa single na alikua adumu na demu
hata mimi nilishawahi uliza huyu mbona malaya malaya inakuaje
wakati kila mtu anauliza hivyo kumbe nawengine wanajipeleka na nini na kujaribu
sasa siku moja wakati tunajadili huyu kaka kuna dada mmoja akasema jamani nyie acheni tu muoneni hivyo hivyo
tukauliza kwani vipi akaanza kusema huyu kaka ametembe na flani na fkani na wote wamemuacha na sio yeye anawaacha
tukauliza why??
akasema bwana huyu jamaa akikaribia kukojoa
anaanza
nakuja(kwa sauti ndogo
nakujaaaa(inaongezeka kidogo)
nakujaaaaaa(inazidi kuongezeka
.
.
.
,
nakujaaaaaaaaaaaaaaaaaa(hapo kamaliza ni paaa linatikisika)
hiyo ikawa kero kwa huyo demu namba one
namba two alijilengesha na alikua anajua hii stor akasema ebwaanaa nitavumilia lakini kablda hawajafanya lolote akamwambia bwana kuna stor nimeisikia kwamba ukikaribia kuwatoa jamaa unapiga sana kelele
jamaa akasema hapana ilitokea tu SIPIGI
wakaingia kunako kitanda
jamaa akaanza(wakati anakaribia)
sipigi(kwa sauti ndogo
sipigiiiii(kwa sauti ndoko tena
sipigiiiiiii(sauti ikawa kubwa
sipigiiiiiiiiiiii(sauti ikaongezeka
.
.
.
.SIPIGIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII(akawa amemaliza
wakasikia mlangomu unagongwa maana keleele iliyotoka walijua kuna anaechinjwa ndani