Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?


Thax dada. Pamoja sn
 
With draw hapana lol, hapana kumtesa mpenzi. Na kama hayuko smart lazima uweke mikono kumkichwa.

my dear lazima uchanganye zote 3
bila hivyo ni kutesana tu
kwa mfano mi nikiwa ovulation sitaki kuisikia ndomu kabisa natamanigi isiwepo
lakini sasa ndo hatari hatarii

hapo hapo ukisema msitumie afanye withdraw unamtesa tu ni sawa na kumumunya pipi kutema mate nje
so ni bora nusu nusu
ndomu kipindi hiki ambacho hauko ovulation inakua kavu
ila kumbuka kupima muhimuna pia uwe tayari kwa lolote maana hata ukiwa ovulation zinapasugaga hizo
 
1. Vyumba Vimejaa
2. Milio ya Simu
3. fidoDIDO
 
Hiii ya withdraw hapana kwakweli, uongo mwingi

kuna saa situation inakua critical
inakua hamna jinsi hahaah ila ina i think 80%accuracy 0% at ur own risk

yaani namaanisha akiweza kutoa kabisa ni aslimia 80 tu zinaweza zikawa hazijatangulia ikulu
 
Ungejua hadi sasa sina hata wa dawa!! Mimi nafanya withdrawal baaas!!

kama una imudu basi pongezi
sipendi ndomu ila sasa inabidi maana ni wachache sana wanamudu hii na pia
watu sio waaminifu ni vyema kutumia protection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…