Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

jiepushe na mwanaume ambaye kwenye mahusiano ya kawaida hujui matumizi ya pesa yake. mkiingia kwenye ndoa utajikuta unanunua maji ya kuoga kunywa, chakula cha familia, pampers za mtoto mpaka kujenga nyumba!

Yaani Mokoyo leo umenifurahishaa, hebu chagua zawadi tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Kuhudumia huja automaticaly pale ur lady anapo kutrit like a KING nawe unamfanya QUEEN wako, otherwise tutatoana out, kula na kunywa no special treatmnt

Kwahiyo yeye ndio aanze kukutreat like a king? Labda km yeye ndio alikutongoza, ila km ulianza wewe na km mwanaume mpenzio inatakiwa awe queen kwako naye atakufanya king tu, tatizo mnakuwa mmetupanga thats y mnashindwa kufanya majukumu yenu ipasavyo
 
ki ukweli mimi stakagi kitu chochote kiongelewe wala kifikiriwe kipindi cha kumake love
maana mi naona ndo kitu pekee chenye raha zaid duniani

Kama "mnamake love" sawa ila if yo having just sex lolote linazungumzwa tu
 
Kwahiyo yeye ndio aanze kukutreat like a king? Labda km yeye ndio alikutongoza, ila km ulianza wewe na km mwanaume mpenzio inatakiwa awe queen kwako naye atakufanya king tu, tatizo mnakuwa mmetupanga thats y mnashindwa kufanya majukumu yenu ipasavyo

Unajua kila kitu kinaanzia day one navyoanza kukuchek na kukuwek katika love zone. Sasa kama from day one unashow like upo kwa interest fulan kwangu, najarib kukuweka like my queen ili huweze ona tofauti kati ya me n other guys, na kama una doubt ziondoke, bt nothng kuna wengine wanafanyiwa ya ajabu sana full kuchukuliwa poa, halafu unategemea guy aendelee kukuon kama queen wake while wew una mchukulia kama sponsor wako.
Mtu ana fed up n no going back, anakutreat vile utavyo mtrit sasa
 

Ooooh hapo sawa nimekuelewa, kwakweli haipendezi mwanaume anapokutreat km queen alafu ukamchukulia poa, yaani kama mtu yupo honest kwakweli hata kumpiga vibomu inauma, ila sasa km kakaa kiwiziwizi tunaibiana tu
 


Bora mimi naefanya kibubububu mwanzo mwisho
 
Nakuwa on for the story babu, sasa unajua mtu anapokuongelesha anategemea response sasa wewe uko busyyy tuu na simu jibu linakuwa hata halifanani na swali kwann asipasue simu? (teh teh teh)

sasa mamii kwenye simu unakuwa unachat na nani sasa
 
.........At that time, nilikuwa sipendi mnaweka appointment vizuri ya "kulaluana", mnakutana room mnaanza stories za kulainishana, a lot of kisses and romance wakati mzee upo full steam unajiweka vyema ufunge safari hadi Kigoma (Uvinza).....mara unasikia "Sorry baby nipo period leo".........Damn, nakuwa kama nimelowa na maji ya barafu!!!!
 
Ooooh hapo sawa nimekuelewa, kwakweli haipendezi mwanaume anapokutreat km queen alafu ukamchukulia poa, yaani kama mtu yupo honest kwakweli hata kumpiga vibomu inauma, ila sasa km kakaa kiwiziwizi tunaibiana tu

Nawachek watu wanavyo lalamika...
 
Alafu ukute tunalalamika tu humu ila wapenzi wetu walaaa hatuongei nao

Mimi honestly i dnt keep things kama nikiona mtu anaenda ndivyo sivyo, namuask maswali ya msingi mawili,matatu then majibu yake na actions zake after yatanipa maamuzi ya ku move on au kubaki.
 
Mimi honestly i dnt keep things kama nikiona mtu anaenda ndivyo sivyo, namuask maswali ya msingi mawili,matatu then majibu yake na actions zake after yatanipa maamuzi ya ku move on au kubaki.

Kabisaaaa thats the spirit, mie huwa namwambia mtu black n white ila in goo way, ili aamue kunyoa ama kusuka
 

Asante sasa nimekuelewa
 
Kabisaaaa thats the spirit, mie huwa namwambia mtu black n white ila in goo way, ili aamue kunyoa ama kusuka

Hivi ni why wanawake mnalalmik kutunzw wenyewe tu, huku pemben mkitaka haki sawa…?
 
Hebu weka misingi yako, bt i-base kwenye maswala ya familia

Sio misingi yangu, nimekuuliza hiyo misingi ya haki sawa tunayoidai(wanawake) unaijua?? Ukishaijua hutouliza tena hilo swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…