Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

wanadanganyanaga sana

mi niliambiwa tumia maji tu plain (na dr)
ila nikajiongeza mwenyewe namna ya kufanya hata nikitumia letsay deto(sio liquid soap) ile ya kipande huwa nahakikisha haiingii ndani
maana ni hatari

Yeah hatari sn
 
1-maneno chonganishi ambayo huweza kupelekea kuhitirafiana kwa kauli.
2-hali ya mwenzangu kutojishughulisha na kinachoendelea.
3-kupretend kuwa umekolea na mchezo kumbe hata akili haipo hapo... Wizi tu!
4-kukosekana kwa ubunifu wa mchezo. Watu kila siku style hizo hizo tu, kiwanja hicho hicho tu na wengine hata mida hiyo hiyo tu!
 
Ha aha ahaaaa... Jikoni tena!! Kwani ni mimi pekee nnayehitaji? Si hata wewe unataka uchangamshe mwili kabla ya mikiki mikiki ya siku!! Unavumilia tu

Ndioooo hata mie nataka ila sasa ndio ushanikata stimu nafanyaje? Hiyo ni until further notise
 
Aah unadhani hakuongea kwanza? Aliongea sn akaona sasa dawa ni kuipasua tu, akaniahidi kuninunulia nyingine, to my suprise si akaniletea kitochi ati ndio nitakoma kuchat sn, nilichoka mwili,maini na bandama zote

Kheeee.... siku zote nikajua we bado bikira.... kheee!!!!
 

ila hata wanawake wakishapata watoto hujisahau sana
hasa wale wanaokaa nyumbani i mean mama wa nyumbani
unaondoka asubuhi amevaa dera la njano unarudi unakuta linaelekea ukijani kwa kuchafuka hata kulitoa halitoi
sasanunadhani ndani pakoje????

by the way ume base sana kwa ndani lakini unakuta mtu nywele chafuuu hazijapelekwa saluni mawiki na mwiki
kucha chafuu,hanukii vizuri HIVI HAMU INAKUJA KWELI???
unakuta ananukia maziwa tu(shati anavaa hilo hilo siku nzima hana vile vijipamba vya kuweka katika maziwa kipindi cha kunyonyesha si hivyo tu
bali pia kubadili zile nguo inaleta hamasa
MI NAONA KAMA UNAKAA HOME KAMA UNAONA MIDA YA MUMEO KURUDI NI VYEMA UKAKOGA NA KUVAA VIZURI
na nyie wanaume umekojoa na kwenda chooni hukoo siku nzima unakuja badala upitie kuoga ule ndo tuanze kuzungumza kabla hatujazama faraghani
UMEPITIA BAR HUKO UMEPIGA MISHIKAKI YAKO NA MABIA UNAVUA TU SURUALI UKIFIKA UNAVUA NA KUTAKA BLOWJOB ?????
JAMAA ANAUGWADUU WA MKOJO WA SIKU NZIMA INABOA
 
Aah unadhani hakuongea kwanza? Aliongea sn akaona sasa dawa ni kuipasua tu, akaniahidi kuninunulia nyingine, to my suprise si akaniletea kitochi ati ndio nitakoma kuchat sn, nilichoka mwili,maini na bandama zote
hahah!! alikunyoosha kweli..safi sana..hope mechi unacheza dk 90 zote now
 
sor nimekuvunjia heshima

so akikunyima huduma jamaa anarudishwa kabisa kwenye zipu?

OK haina Shida.

Hapana hailudi kwenye zipu halafu sie wanaume hatususi papuchi...naipiga hiyo hiyo to low my libido.
 
OK haina Shida.

Hapana hailudi kwenye zipu halafu sie wanaume hatususi papuchi...naipiga hiyo hiyo to low my libidi.

libidi=lubido

ina maana mkuu wewe hiyo sehemu ndo kama sehemu inayokupa raha
 

1.usiwe wa kwanza kuanzisha hayo maneno na akianzisha potezea/usimjibu na baadae umwambie au hapo hapo kwamba aupendi kuongea wakati ule
2.hiyo inatokea uwenda anatatizo/ila inaboa wengine wanachukua gazeti anasoma
3.mpaka apretend ni kwamba hujamfanya iwe real/Nona ni bora jtu awe real ili uelewe udhaifu wako
4.una wajibika vipi kubadili kiwanja au unatoka tu kazini na kutegemea miujiza/tumia kocho,tumia kiti
siku moja moja laleni nje ya home kwenye hotel
popote pale

kuwa mmoja wapo wa mabidiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…