Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Di usafi wa eneo la tukio tu, ila usafi wa mwili pia

ndio wa mwili mzima
ila usafi wa hilo eneo ni wa kuzingatia
kuna siku waliwekaga mada watu wanatumia asali sijui limao and the like

ki ukweli kule chini kuna bacteria ambao wanalinda kusishambuliwe sasa ukiwauwa kwa kutumia misabuni mikali,limao au asali ni tatizo utakuja kupata ma fungus maana vile vinavyolinda huko chini vimekufa
hapo ndipo unaanza kutoa harufu
but herw we go again huko chini lazima kusafishw vizuri haswa kipindi mtu anapomaliza period kunakuwa na majimaji
SASA NI NJIA IPI YA KUSAFISHA BILA KUHARIBU MAZINGIRA YA HUKO NA KUKUACHA UNANUKIA FRESH

pia vipi kuoga vizuri,na kufanya makeup hii haimvutii mwenza i mean kufanya ile light makeup sio ma crayz colour uko usoni mpaka taa ikizimwa unawakawaka kama taa za club
 
hizi za leo ndo za ukweli..we aliyekwambia peponi wanaruhusu kuchat nani..bora kasimu kalivunjwa..alikuweza kweli lol

Doooh!! Huna huruma wewe, kasimu kangu mwenyewe nilijichangaaa hakana hata miezi mi5 kakavunjwa bado nina hamu nako, ila ndio nilijifunza either nazima simu kabisaaa au naiweka silent
 
Ngoja nimsemee wife... (Wakati namuoa) Kama ilivyo ada ya wanaume, kila ukiamka asubuhi mnara unasoma full!! Naamkia kumwandaa na akiwa on basi najikuta nnahisi mkojo kwa mbali naamua kwenda kuclear bladder ili game inoge!! Alikuwa anachukia kweli na kuwa off kabisa hadi nikashangaa!! Nilipoona vile kwa mara mbili nikaona naharibu!! Nikiamka naanzia bafuni then morning glory...

Baadae akaja kuniambia alikuwa hapendi hiyo tabia!!

hako katabia kakubanwa na mkojo kabla ya nanii kanawakumba wengi na kanakera sio mchezo
 
Ngoja nimsemee wife... (Wakati namuoa) Kama ilivyo ada ya wanaume, kila ukiamka asubuhi mnara unasoma full!! Naamkia kumwandaa na akiwa on basi najikuta nnahisi mkojo kwa mbali naamua kwenda kuclear bladder ili game inoge!! Alikuwa anachukia kweli na kuwa off kabisa hadi nikashangaa!! Nilipoona vile kwa mara mbili nikaona naharibu!! Nikiamka naanzia bafuni then morning glory...

Baadae akaja kuniambia alikuwa hapendi hiyo tabia!!

Hahahaaaa! Nimecheka!! Wazee wa morning glory
 
ndio wa mwili mzima
ila usafi wa hilo eneo ni wa kuzingatia
kuna siku waliwekaga mada watu wanatumia asali sijui limao and the like

ki ukweli kule chini kuna bacteria ambao wanalinda kusishambuliwe sasa ukiwauwa kwa kutumia misabuni mikali,limao au asali ni tatizo utakuja kupata ma fungus maana vile vinavyolinda huko chini vimekufa
hapo ndipo unaanza kutoa harufu
but herw we go again huko chini lazima kusafishw vizuri haswa kipindi mtu anapomaliza period kunakuwa na majimaji
SASA NI NJIA IPI YA KUSAFISHA BILA KUHARIBU MAZINGIRA YA HUKO NA KUKUACHA UNANUKIA FRESH

pia vipi kuoga vizuri,na kufanya makeup hii haimvutii mwenza i mean kufanya ile light makeup sio ma crayz colour uko usoni mpaka taa ikizimwa unawakawaka kama taa za club

Tatizo makungwi rundoooo full kudanganyana, mie nawaangaliaga tu
 
usafi wa eneo la tukio muhimu

vipi kuhusu hiyo tofauti?
Wasichana wengi wanadhania kuwa usafi wa mwanamke unaishia tu kwenye kuvaa nguo nzuri na za kuvutia....wanadhani kuwa urembo wa mwanamke unadhihirika kwa kubadili mitindo ya nywele na kubadili rangi za kucha au kuonyesha umbo lake zuri na la kuvutia....la hasha ,usafi kwa mwanamke anayejitambua na anayetambua maana ya uanamke wake hauishii kwenye mavazi ya nje pekee wala kwenye mitindo ya nywele na kucha za kuvutia bali mpaka kwenye shina la mwanamke ambako ndio kumebeba maana nzima ya mwanamke...

..Mwanamke aliyepoteza udhibiti wa eneo hilo muhimu kwenye maumbile yake hana tena thamani mbele ya mwanaume kwa maana ya mwanaume labda kwa wavulana wanaosukumwa na kani za balehe ,wasio jua raha za huba zaidi ya kutoa kile kilichomfanya amtafute mwanamke....tumeshuhudia kesi nyingi za wapendanao wakilalamikia hali hii ili hali ukiwatazama kwa nje hao walalamikiwa wanaonekana kama wanawake kwa mavazi ya kupendeza na sura za kuvutia lakini kwa ndani wameshapoteza uanamke...
 
Mimi hata niwe na mzuka vipi nikikuta kavaa ile mi-skin tight au mchupi mkubwa aaaaggrrrh napoteza hamu zote nasikia burudani ndani nikute kitu matata sana,nilishawahi kuomba pooo kwa ki-sista du kimoja muda kidogo kilikua kimevaa kama boxer ivi na mchupi ndani yake ukweli hii ipo tu kwangu automatically.
 
Doooh!! Huna huruma wewe, kasimu kangu mwenyewe nilijichangaaa hakana hata miezi mi5 kakavunjwa bado nina hamu nako, ila ndio nilijifunza either nazima simu kabisaaa au naiweka silent
hhaha!! usipochafuka utajifunzaje..ungeambiwa kwa maneno ungerudia siku nyingine..bora alitumia vitendo..we upo faragha mawazo yapo jf
 
Tatizo makungwi rundoooo full kudanganyana, mie nawaangaliaga tu

wanadanganyanaga sana

mi niliambiwa tumia maji tu plain (na dr)
ila nikajiongeza mwenyewe namna ya kufanya hata nikitumia letsay deto(sio liquid soap) ile ya kipande huwa nahakikisha haiingii ndani
maana ni hatari
 
Mi ukiondoka ukaenda chooni ukirudi unakua na kitanda nshatandika nipo jikoni, unamturn on alafu unaondoka!! Ukirudi ujue unaanza upyaaaa

Ha aha ahaaaa... Jikoni tena!! Kwani ni mimi pekee nnayehitaji? Si hata wewe unataka uchangamshe mwili kabla ya mikiki mikiki ya siku!! Unavumilia tu
 
Mimi hata niwe na mzuka vipi nikikuta kavaa ile mi-skin tight au mchupi mkubwa aaaaggrrrh napoteza hamu zote nasikia burudani ndani nikute kitu matata sana,nilishawahi kuomba pooo kwa ki-sista du kimoja muda kidogo kilikua kimevaa kama boxer ivi na mchupi ndani yake ukweli hii ipo tu kwangu automatically.

unapenda vile vichupii vidogo vidogo au vi thongs kabisa
 
I was jusd kidding honey, hiyo kitu naipenda we acha tu, sitakagi iingiliane na kitu kingine chochote!!
I hate when am allready ooon alafu mtu anaanza kubring up mambo ambayo yalishapita like ugomvi au maudhi yaliyopita

Hili tatizo la simu lilikuwa langu pia, mpaka one day ilipobamizwa ukutani ndio nikakoma, doooh kasimu kangu kaliniumaaa!!

Haaaaa lol

Mie kuna kitu nataka kusema ila naonaje aibu lol... Maana nikiwaza hiyo scenario nayotaka kuisema nacheka mwenyewe

Cc masai dada

CC Kaizer, kwa taarifa na kumbukumbu za chama.
 
Last edited by a moderator:
hhaha!! usipochafuka utajifunzaje..ungeambiwa kwa maneno ungerudia siku nyingine..bora alitumia vitendo..we upo faragha mawazo yapo jf

Aah unadhani hakuongea kwanza? Aliongea sn akaona sasa dawa ni kuipasua tu, akaniahidi kuninunulia nyingine, to my suprise si akaniletea kitochi ati ndio nitakoma kuchat sn, nilichoka mwili,maini na bandama zote
 
Back
Top Bottom