Kitu gani kinazorotesha kasi ya maendeleo yako?

Kitu gani kinazorotesha kasi ya maendeleo yako?

Bundle Mbaya zaidi halina linachoniingizia. Linanitumia mno mno.

I can't survive even for 10 minutes without it. I'll die hakii, kwanza simu nikiishika nahisi kama inaninyonga.

Boda boda, sijui nina kijini toyo? Yan ninapanda toyo hata sehemu ambazo mwingine atanishangaa. How comes? Hapo na hapo tu si utembeee/ upande hiace.

Outing, naweza jitia boss lady hapo chelsea wakinifurahisha. Asubuhi nikiamka naanza kupiga mahesabu and be like kwani nani alinituma nitoke? Ningeangalia update livescore kwani ingekuwa aje? Ndio pesa ishapotea hapo

Unnecessary & unplanned shopping. Inaninyonga hii ila kuiacha ni ngumu.
 
Mbunye ndio tatizo kubwa vandg

Ingekuwa ni kwa uwezo wangu ningejaribu kutenganisha wanaume na wanawake hata kwa miaka 5 alafu tuone hatua za kimaendeleo tutazokuwa tumefikia kwa sababu vitu vingi sie me hufanya kwa ajili ya kupata misifa ya hawa viumbe ndio maana wale waliosoma shule za boys hawakuwa na sheda ya haiba km sie tuliosoma shule za mix

Ko kwa kfup awa viumbe ndio sheeeeda
 
Kwani matumizi ya hela ni nini?

Tuanzie hapo, maana naona kila mtu analalamika kwa anavyotumia hela!
Hela unatumia ila unatakiwa kutumia kwa maendeleo endelevu hapa tunazungumzia changamoto zinazotukuta za kutumia fedha nje ya malengo tuliyokusudia
 
Bundle... Mbaya zaidi halina linachoniingizia. Linanitumia mno mno,
I can't survive even for 10 minutes without it. I'll die hakii, kwanza simu nikiishika nahisi kama inaninyonga.

Boda boda, sijui nina kijini toyo? Yan ninapanda toyo hata sehemu ambazo mwingine atanishangaa. How comes? Hapo na hapo tu si utembeee/ upande hiace.

Outing, naweza jitia boss lady hapo chelsea wakinifurahisha. Asubuhi nikiamka naanza kupiga mahesabu and be like kwani nani alinituma nitoke? Ningeangalia update livescore kwani ingekuwa aje? Ndio pesa ishapotea hapo

Unnecessary & unplanned shopping... Inaninyonga hii ila kuiacha ni ngumu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] duh, boda kwakweli sipandi labda kutoka home kwenda ndanindani ila sio mainroad au city center naona wanavyopasuka

Mpira.... hii lazima itanipeleka Bar hapo ndo balaa linaanza
 
Ila kiukweli mbunye ndio kitu pekee kinachoturudisha sana nyuma wengi.
Mechi isiumiza ni ya.demu anaywkuja geto maana atapika na mengine

Gest 15k
Vinywaji+misosi 30
Posho30
Bado usafiri

50-60 kwa mabaharia wengine unazungumzia 150k per day
 
Mbunye ndio tatizo kubwa vandg

Ingekua ni kwa uwezo wangu ningejaribu kutenganisha wanaume na wanawake ata kwa miaka 5 alaf tuone hatua za kimaendeleo tutazokua tumefkia kwa sababu vtu vng sie me hufanya kwa ajil ya kupata misifa ya hawa viumbe ndio maana wale waliosoma shule za boys hawakua na sheda ya haiba km sie tuliosoma shule za mix

Ko kwa kfup awa viumbe ndio sheeeeda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316]
 
Jamani kwa upande wangu mimi sifa.. daah sifa zinakula hela.

Gari half tank

Vocha gb 10 ila youtube itakoma nikifika bar za connect bluetooth

Pombe ni mwendo wa bucket

Mchumba lazma aje na boda

Lazma nile vizuri siku hiyo

Na bimkubwa lazma siku hiyo nimpe pesa. Mama mzaa chema.

aaanh huwa sina tabia ya kuamka na viporo vya pesa niliyotengeneza jana. Siku ya pili naamka tu atm.
 
Mi kila nikienda town lazima nitamati kitu na kununua ila nikifika nacho nyumbani sioni kazi yake mshana msaada huku
Zamani nlifundishwa kuandika.mahitaji yoote na kuyatafutia hela,

Inayozidi ruksa kuizabua

Saivi mipango huja baada ya hela kuisha[emoji2299][emoji2299][emoji2299][emoji2299]
 
Jamani kwa upande wangu mimi sifa.. daah sifa zinakula hela..
gari half tank
Vocha gb 10 ila youtube itakoma nikifika bar za connect bluetooth
Pombe ni mwendo wa bucket
Mchumba lazma aje na boda.
Lazma nile vizuri siku hiyo.
Na bimkubwa lazma siku hiyo nimpe pesa. Mama mzaa chema.
aaanh huwa sina tabia ya kuamka na viporo vya pesa niliyotengeneza jana. Siku ya pili naamka tu atm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kama unawakumbukaga home inatosha kiasi maana kuna baraka unapokea
 
Back
Top Bottom