Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Qur'an 2:102.
Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi,...
Hivi vitabu vimeandikwa na wapuuzi ambao hawakujua dunia inazunguka jua. Ukiishi kwa akili za Hawa watu utaishia kuamini vitu ambavyo havipo ndo maana tunaenda shule. Ingekuwa Quran ni elimu tungeisoma mashuleni kwa lazima Kama sayansi
 
Hizi story za mtaani hazina udhibitisho wowote ndo maana hazitangazwi kwenye vyombo vya habari zinaishia huko mtaani
 
Aise
aise is it true dah hiyo balaa
 
Aise

aise is it true dah hiyo balaa
Muulize ana uthibitisho gani wa hizo story. Yaani hizi story Kama una akili timamu utaskia tu Mara huyu katokewa na Nini unajiuliza mbona hayakutokei kumbe ni vitu ndani ya fikra tu. Uchawi ungekuwepo watu wote wangeuona, kwa Nini Wanaona watu wachache Tena watu ambao ni duni na wasio na elimu ya mazingira na Sayansi. Ni rahisi kufikiria kitu ni uchawi Kama hukielewi, ni rahisi kuona mauza uza Kama ndo kitu ambacho kinajazwa akilini kwako na watu unaoishi.
 
Uko sahihi
 
Kwan Kila kinachotangazwa na vyombo vya habar unakiamini? Huyo ni mtu wangu wa karibu na Huwa Sina matani naye kiivyo na hapo alikuwa ananielezea kwann aliondoka Lindi
🤣Sasa hapo ndo umethibitisha...mi Nikiwa mdau wako nikakuambia nimeamka mwezini asubuhi itakuwa kweli kisa mi rafiki yako au...vitu vingine tumia akili yako tu...na ndio taarifa ya habari inapitia vitu vingi mpaka ije kuwekwa pale. Ndo maana huwezi ona habari za uwongo au za kimbea mbea labda ziwe taarifa za udaku na uswahilini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…