Kitu kidogo tu, Mke analipuka zaidi ya Bomu!

Kama mke utampelekea motooo kisawa sawa na hela unampa hana makelele na mumewe. Ila kama mume kimoja chalii na hela hana pole yako[emoji1787][emoji1787]
Naomba hii comments iwekwee pale posta kwenye mnara wa askari.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama hayuko period labda kimenasa.

Hormones za mimba au periods zinafanya mwanamke anakua na hasira.
Ukikutana na wale wasioogopa kujibishana na wamaume ndo hali inakua hivyo.
 
Siupige chini!!yaan nimuoe nimuhudumie alafu anipandishie na kuleta dharau! Piga chini takataka hiyo
 
Solutely true.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…