Kitu kidogo tu, Mke analipuka zaidi ya Bomu!

Kitu kidogo tu, Mke analipuka zaidi ya Bomu!

Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).

Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.

NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.
😅😅😅 Protective mechanism hizo
 
Mkuu akili za wanawake achana nazo kabisa, hiyo ya kimya kimya ni mwanaume tu ndo anaweza kuifanya na asingundulike.
Ukiona anafanya wazi wazi basi ujue ya kwamba anakudharau mno na anajua huna la kumfanya.
Walio careless kwenye kuchepuka ni wanaume...dakika sifuri umeshamgundua.
 
Mwanaume ukiishi kwa kumridhisha mwanamke kwa kila kitu,, utateseka sana kwenye hii dunia,, hakuna rangi utaacha ona,, ukiona mkeo hachepuki sijui ametulia fahamu tu kwamba bado hajakutana na fascinated mchepuko ila siku akikutana nae ni swala la muda tu kuanza kuona changes...mwanaume unakazana ety sijui show kali mara hela, ma-broo mtasanda kwa hawa viumbe.
 
Wanawake wanalilia haki sawa na kuheshimiwa, ila ukweli ni kuwa kwa matendo Yao, tabia zao, na muonekano wao haviwapi hayo wanayodai. Wengi wao akili zao wameshikiwa na ndugu, marafiki, au ma ex wao ndio maana wanakuwa na vurugu za balee wakiwa ktk ndoa.

Nasema, ukiweza kuoa na kuishi na mke na ukawa kichwa Cha familia bila kubwatukiwa na mkeo hovyo basi jua hapo umeshahitimu chuo kikuu.

Wanawake wengine wanaishi na waume zao km wake wenza. Midomo haina breki. Huyo mdhibiti haraka kabla nati zake hazijalegea zaidi kichwani.

Nasema wanawake wenye midomo michafu kwa waume zao msiwafumbie macho chukuwa hatua stahiki haraka vinginevyo utakuwa mume bwege.
 
Ukiona anafanya wazi wazi basi ujue ya kwamba anakudharau mno na anajua huna la kumfanya.
Walio careless kwenye kuchepuka ni wanaume...
Me nachepuka na huwezi nigundua hata siku moja,, lakini mwanamke akishanogeshwa na chochote tu na mchepuko wewe mume/mpenzi wake utagundua tu labda mwanaume awe Lofa.
 
Kuna kitu hakipo sawa hapo nyumbani ndo mana anakua na hasira hasira tu yani Kila ukiongea anaona unamkera Bora utafute chanzo cha tatizo
 
Mpelekee Moto haswaaaa...akibweka tu mchukue mvue nguo anza kumpiga mashine..atatulia
 
Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).

Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.

NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia bomu kama Kaka zenu. Ndoa si lelemama.
Dawa yake,akilipuka tu,wwe lipuka Mara mbili yake! Utakuja nishukuru siku moja!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume ukiishi kwa kumridhisha mwanamke kwa kila kitu,, utateseka sana kwenye hii dunia,, hakuna rangi utaacha ona,, ukiona mkeo hachepuki sijui ametulia fahamu tu kwamba bado hajakutana na fascinated mchepuko ila siku akikutana nae ni swala la muda tu kuanza kuona changes...mwanaume unakazana ety sijui show kali mara hela, ma-broo mtasanda kwa hawa viumbe.
Wanaume mnapata shida kwasababu kwenye minds zenu mnaamini ya kwamba mwanamke hapaswi kuchepuka. Mmesahau ya kwamba na yeye ana tabia za kibinadamu.
Ndo maana wanaume wengi wakichapiwa wanaumia na kuishia kujeruhi...kwasababu aliweka matumaini ya kwamba anayeruhusiwa kuchepuka ni mwanaume peke yake.

Dunia imebadilika sana, people don't care anymore. Solution ni ndoa za mkataba labda.
 
Wanaume mnapata shida kwasababu kwenye minds zenu mnaamini ya kwamba mwanamke hapaswi kuchepuka. Mmesahau ya kwamba na yeye ana tabia za kibinadamu.
Ndo maana wanaume wengi wakichapiwa wanaumia na kuishia kujeruhi...kwasababu aliweka matumaini ya kwamba anayeruhusiwa kuchepuka ni mwanaume peke yake.

Dunia imebadilika sana, people don't care anymore. Solution ni ndoa za mkataba labda.
Kinachosumbua ni sisi wanaume wenyewe ile kukosa kuzisoma RED FLAGS ambazo wanawake huwa nazo hata kabla ya kuwaoa badala yake tunaamua kuwachagua kwa mionekano yao, kwamfano hapa mimi tayari nimeshagundua wewe si mwanamke unaefaa kuolewa zaidi ya hit and run, ila atatokea mwanaume mjinga mmoja huko na kudhania kuwa anaweza kukuoa na ukatulia kwasababu ya uzuri wako (sina uhakika) au vitu vingine.


Kwanini solution iwe ndoa za mikataba?

Kama ndoa za mikataba zinaweza kuwa suluhisho, basi tuungane na wewe wenzetu kukataa ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachosumbua ni sisi wanaume wenyewe ile kukosa kuzisoma RED FLAGS ambazo wanawake huwa nazo hata kabla ya kuwaoa badala yake tunaamua kuwachagua kwa mionekano yao, kwamfano hapa mimi tayari nimeshagundua wewe si mwanamke unaefaa kuolewa zaidi ya hit and run, ila atatokea mwanaume mjinga mmoja huko na kudhania kuwa anaweza kukuoa na ukatulia kwasababu ya uzuri wako (sina uhakika) au vitu vingine.


Kwanini solution iwe ndoa za mikataba?

Kama ndoa za mikataba zinaweza kuwa suluhisho, basi tuungane na wewe wenzetu kukataa ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikutaarifu ya kwamba mimi ni mzuri wa kuridhisha na mwaka huu natimiza miaka 18 ya ndoa. Nikitimiza miaka 25 ya ndoa nitakualika tuje kusherekea pamoja.
 
Kwanini alimuoa na mdomo wote huo?
The point is; KWANINI UNAOA???

#YNWA
Kila mtu ana sababu zake kwanini ameoa. Kama wewe ambavyo unazo sababu zako kwanini hutaoa tumekuelewa....maisha ni kuchagua sio lazima watu wote wawe na mwelekeo mmoja, haitatokea.
 
Kila mtu ana sababu zake kwanini ameoa. Kama wewe ambavyo unazo sababu zako kwanini hutaoa tumekuelewa....maisha ni kuchagua sio lazima watu wote wawe na mwelekeo mmoja, haitatokea.

Sasa unaoa ili ukae na mdomo ndani, halafu ukupigie makelele kama sabufa?

#YNWA
 
Back
Top Bottom