Kila kitu kina bajeti yake mkuuNani anajenga hii na kwa bajeti kutoka wapi? Mbona stendi tuu ya mkoa Wa Arusha imeendekea kutia aibu na hakuna anayetoa neno?
Issue ya Bandari ndio mpango mzima hizi hadaa za majenzi hazina maana.Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."
Arusha italipaKuna mikoa Malls za kazi bure ni sawa na kuweka Malls wilaya ya Temeke lazima zife tu.
Labda hajui kwa tanzania dar na arusha ndio sehemu pekee unaweza ukawa na malls na zikakulipa bila kusahau na dodomaArusha italipa
Swali lako lina mantiki.Mount Kilimanjaro halafu mnakijengea Arusha, kwanini isiwe Mount Meru Convention Center?
Wageni ndio wako targeted sio Wenyeji.Labda
Inabidi Watz tubadilike
Kilimanjaro ni alama ya nchi na sio jina lenye hati miliki hata Daresalaam kuna hoteli inaitwa Kilimanjaro, boat za kwenda zanzibar zimeandikwa hivyo na pia ukiita itatangaza zaidi nchi pale mgeni anaposema amefikia kilimanjaroSwali lako lina mantiki.
Halafu si kuna mpango wa kujenga tena ukumbi mkubwa was mikutano Ikulu ya Dom??!!
Vipaumbele vyetu vya ajabu sana!
Yes, hilo eneo la AICC Themi Hill halipendezi kukaa utupu vile katikati ya mji,Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."
Hospital ambazo wanashindwa kuziendesha wanaishia kuzikodisha, hahaMbali na hilo AICC pia walikuwa na mradi mkubwa wa kujenga Hospitali yao kubwa jijini Arusha...
Wanajua Hapafai Hata Usingizi Tabu KuupataNadhani ingekuwa sahihi zaidi kama ungejengwa Dodoma
Jiji la arusha halijapangiliwa na linasikitisha (sad city). Badala ya geneva of africa, lingeitwa shithole of africaArusha ni pazuri zaidi, wanapaita GENEVA OF AFRICA!!!🤣🤣🤣
Moshi siyo mji, ni kijiji flani hivi kilichojaa washambaHujafika maeneo hayo, tofauti ni kubwa sana, we umeshasikia mkutano wa kimataifa umefanyika mji wa Moshi, Hiyo ni miji miwili tofauti kabisa hata kwa hali ya hewa.
Pesa ya tozo inawawasha. Nasikia kuna tozo ya walaji wa kitimoto inakuja. Kila ukinunua kilo moja wanaweka 10% ya tozo.Mkataba wa Bandari haujaisha wamesaini wa kumbi
Saa100 si alisema serikali haifanyi biasharaAmeandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."
Magufuli anaingiaje hapa au unamimba ya magufuliHuo ulikuwa mpango wa siku nyingi sana... sema toka Magufuli aingie madarakani mradi ule mkubwa ukawa umekufa kwa maji...
naona mradi huo umerudi tena ... hongeara sana
Ameandika msemaji mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika mtandao wa Instagram
"Tunakwenda kujenga kituo kikubwa cha mikutano Jijini Arusha kitakachoitwa MOUNT KILIMANJARO CONVENTION CENTER."
"Kitakuwa na sifa zifuatazo;
1. Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000
2. Eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000
3. Hoteli 2 za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000
4. Majengo ya nyumba za kuishi (apartments)
5. Kumbi ndogo za mikutano
6. Majengo ya maduka (shopping malls)
7. Nyumba za kulaza watu mashuhuli wakiwemo Marais
8. Maeneo ya kupumzika (recreation areas)
9. Maeneo ya burudani
10. Bustani"
Kila la kheri @aicc_jnicc kwa mpango huu mkubwa."