Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata watoto wadogo watajitenga nae!!
Hata Farao alikuwa kama Magu ila mwisho wa siku aliangukia pua.Ivi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.
Bashite anatakiwa atengwe abaki yeye na Le Mtumboz tu W. J. MalecelaSijui wametumika!!!
Ngozi nyeusi ni tatizo sana!!!
Ivi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.
Hao wote wanafadhiliwa na Mmarekani. Hao LHRC mbona hatujaona makalipio wanayoyatoa dhidi ya Marekani kuwaua na kuwatesa Binadamu Wengine kwa kiaingizio cha Demokrasia.Kitendo cha LHRC kuandika hii taarifa ni kwamba kila mtu muhimu/taasisi/ngo wataogopa kujihusisha na Makonda. Kitendo tu Cha Makonda leo kutembelea banda lao tayari imekuwa doa kubwa kwao na kuamua kuondoa picha na hatimaye kutoa hii taarifa.
Makonda atatengwa na mwisho atabaki peke yake hakuna atakayejihususha naye kwa sababu kila atakayejihusisha naye ataonekana anashabikia ukiukwaji wa haki za raia nchini
Duh ila kuna watu wapo Serious na issues aisee...
Hadi wamepiga simu dadeki. ...
😆..
We changing for the better.... sijui kama viongozi wetu wanaliona hili. .
Kwani KUBWA lipi alilofanya mara hii zaidi ya aliyofanya siku zilizopita na akaachwa?Ivi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.