Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Wamechemka balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee ndimba nungwe ulambalele pakisyanju?uligwakokugu gwe ntwa Mwikemo!? Untwa gummenye?nguswiga loli??Hao wote wanafadhiliwa na Mmarekani. Hao LHRC mbona hatujaona makalipio wanayoyatoa dhidi ya Marekani kuwaua na kuwatesa Binadamu Wengine kwa kiaingizio cha Demokrasia.
Wamewaua Watu kwa kutumia watu Wengine ili tu wao Watengeneze story kuwa wao ni bora zaidi ya Wengine. Tuache tabia ya kumwamubu Marekani. Naweza tamka wazi kuwa nao ni Magai
Hao wote wanafadhiliwa na Mmarekani. Hao LHRC mbona hatujaona makalipio wanayoyatoa dhidi ya Marekani kuwaua na kuwatesa Binadamu Wengine kwa kiaingizio cha Demokrasia.
Wamewaua Watu kwa kutumia watu Wengine ili tu wao Watengeneze story kuwa wao ni bora zaidi ya Wengine. Tuache tabia ya kumwamubu Marekani. Naweza tamka wazi kuwa nao ni Magai
Ivi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.
Sio Makonda tuu babu wew wacha now na sie tuji mwambafai sasa. Hata Meko na vibaraka wake wanahusika. Akitoka tuu madarakani utaona utitiri wa tuhuma zake na vibaraka wake wanahitajika ICC. Mwanzo ngoma ni kelele.
Duh ila kuna watu wapo Serious na issues aisee...
Hadi wamepiga simu dadeki. ...
[emoji38]..
We changing for the better.... sijui kama viongozi wetu wanaliona hili. .
Sijui wametumika!!!
Ngozi nyeusi ni tatizo sana!!!
Ivi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.
Wenyewe wanajisifu eti ameongezewa umaarufu na Marekani kaaah yani akili za Hawa wanazi wa makonda Ni huzuni kuuKitendo cha LHRC kuandika hii taarifa ni kwamba kila mtu muhimu/taasisi/ngo wataogopa kujihusisha na Makonda. Kitendo tu Cha Makonda leo kutembelea banda lao tayari imekuwa doa kubwa kwao na kuamua kuondoa picha na hatimaye kutoa hii taarifa.
Makonda atatengwa na mwisho atabaki peke yake hakuna atakayejihususha naye kwa sababu kila atakayejihusisha naye ataonekana anashabikia ukiukwaji wa haki za raia nchini
Tunashadadia kwa sababu huyu Ni mtesi wetu na sie wanyonge hatuna la kumfanya. Adui wa adui yako Ni rafiki yako Tena kipenzi kabisamkuu naungana na wewe 100%.. ni kwann sisi wabongo hatujikubali!? au ndo hiki kitu ni wanasema ukoloni mambo leo!? binafsi sielewi! where are our guts;?. trump au mfuasi wake(mzito) leo akisema anakuja bongo utaona tena tunapigwa marufuku kwenda posta na kandambili zetu! ila wao wakimpiga ban mtu wa kwetu tunashadadia ujinga tu.
au ndo vile mzee mwinshehe alituimba!? BINadamu sisi.
Leo mnahasira Sana sijui Kama mmekula hata mlo mmoja maana siku nzima Ni vikao vya hasira Kali mkijifanya na nyie Ni Kama Iran etiBaba yako ni ngozi nyeusi na yeye ndo tatizo namba moja na ukoo wako, ndo maana una low IQ kama mbuzi, wewe ni nani hadi watu wote waishi utakavyo?
Bado yupo. Chezea lile takoIvi Makonda bado yupo ofisini kweli? Magufuli hayupo makini na uyu jamaa atamponza.
Leo mnahasira Sana sijui Kama mmekula hata mlo mmoja maana siku nzima Ni vikao vya hasira Kali mkijifanya na nyie Ni Kama Iran eti
Sent using Jamii Forums mobile app
asante mkuu.. sikulaumu maana ujinga ulionao ni matokeo ya serikali ya ubongo wako kutokujadiliana na cabinet kuu ya jamhuri ya kichwa chako.Tunashadadia kwa sababu huyu Ni mtesi wetu na sie wanyonge hatuna la kumfanya. Adui wa adui yako Ni rafiki yako Tena kipenzi kabisa
Hapa nafikiria kushona shati Kama la Lugola mifuko niweke bendera za USA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikujua kama Tanzania Rais wake anaitwa Trump, nilifikiri Magufuli ni Rais wa Tanzania na Paul Makonda ni mteule wa Rais Magufuli. Sasa kama Trump au serikali ya Amerika imemzuia Mkuu wetu mpendwa wa Mkoa Paul Makonda kuingia Amerika ni sawa. Ni uamuzi wao kwa vile ni nchi yao. Kwa sababu ya uamuzi wao huo ambao ushahidi hawana utufanye sisi katika sovereign state tubabaike na kuacha kufanya shughuli zetu za kawaida? Hayo mambo yenu ya kanga pelekeni kwenye kuwacheza unyago mashoga wenu.Kitendo cha LHRC kuandika hii taarifa ni kwamba kila mtu muhimu/taasisi/ngo wataogopa kujihusisha na Makonda. Kitendo tu Cha Makonda leo kutembelea banda lao tayari imekuwa doa kubwa kwao na kuamua kuondoa picha na hatimaye kutoa hii taarifa.
Makonda atatengwa na mwisho atabaki peke yake hakuna atakayejihususha naye kwa sababu kila atakayejihusisha naye ataonekana anashabikia ukiukwaji wa haki za raia nchini
Sisi wananchi wanyonge tunasubiri kwa hamu kuona mnavyoiwekea vikwazo USA kulipiza kisasi. Tena vikwaso muwekeeni Trump kabisa ili asikanyage nchini.Sikujua kama Tanzania Rais wake anaitwa Trump, nilifikiri Magufuli ni Rais wa Tanzania na Paul Makonda ni mteule wa Rais Magufuli. Sasa kama Trump au serikali ya Amerika imemzuia Mkuu wetu mpendwa wa Mkoa Paul Makonda kuingia Amerika ni sawa. Ni uamuzi wao kwa vile ni nchi yao. Kwa sababu ya uamuzi wao huo ambao ushahidi hawana utufanye sisi katika sovereign state tubabaike na kuacha kufanya shughuli zetu za kawaida? Hayo mambo yenu ya kanga pelekeni kwenye kuwacheza unyago mashoga wenu.
Sisi ni wanaume rijali hatutakubali eti tunaishi kwa ajili ya Amerika? Mambo ya Tanzania ni ya Tanzania nasi tuta retaliate vile vile. Tukiwafungia kuingia kuwaangalia wanyama wetu watatufanya nini?
Mnyama gani mliyenaye ambaye kwao hayupo? Na wamewachukua hapa hapa kwa kushirikiana na wezi wa ccmSisi ni wanaume rijali hatutakubali eti tunaishi kwa ajili ya Amerika? Mambo ya Tanzania ni ya Tanzania nasi tuta retaliate vile vile. Tukiwafungia kuingia kuwaangalia wanyama wetu watatufanya nini?
Sasa mnalia lia nn kumshutumu Zito. Chukueni basi tuone kama mnazo. Na mngekuwa na hela bajeti yenu inhetegemea mabeberu kwa 44%?Serikali yatu ina reserve ya US Dollar Billion 5.6 what is US Dollar million 500. It is nothing! Tuna weza kutoka kwenye Reserve yetu nani atapata hasara, sisi au world Bank?
mkuu naungana na wewe 100%.. ni kwann sisi wabongo hatujikubali!? au ndo hiki kitu ni wanasema ukoloni mambo leo!? binafsi sielewi! where are our guts;?. trump au mfuasi wake(mzito) leo akisema anakuja bongo utaona tena tunapigwa marufuku kwenda posta na kandambili zetu! ila wao wakimpiga ban mtu wa kwetu tunashadadia ujinga tu.
au ndo vile mzee mwinshehe alituimba!? BINadamu sisi.
Nataka wawaunge sana mkono USA maana hao mabeberu ndiyo pekee wamebaki kuipanda hii mijike ya mbuzi inayotesa wanyonge kwa kisingizio cha uzalendo.Ulitegemea hao LHRC waache kuunga mkono USA wakati pesa wanapata kutoka huko unataka wafe njaa!
Una uhakika mtashinda?Hata sisi tunaomba waendelee kutubana ili tuwajue vibaraka na Malaya wa hapa nchini ili vita ikianza tuwamalize kabisa kabla hawajafika.
Gadafi naye alijiamini kuliko nyie akaishia kupigwa kisu cha m*undu100%