Kituoa cha Sheria na Haki za Binadamu mmetuangusha!!

Kituoa cha Sheria na Haki za Binadamu mmetuangusha!!

Sisi tutaanza na vibaraka kwanza! Si umeona hata Green Card wamepiga stop kwa kuwa wameshajua watz wako huko kila wasaliti wakienda wanaingia mtegoni. Hahahahaha
Sawa tuombe mungu itokee. InshaAllah tutapata muda wa kutafakari kama wanavyofanya Libya.

Tuendelee kuomba hilo vagi lije. Endeleeni kutikisa kiberiti cha beberu ili lianze mapema
 
Sisi wananchi wanyonge tunasubiri kwa hamu kuona mnavyoiwekea vikwazo USA kulipiza kisasi. Tena vikwaso muwekeeni Trump kabisa ili asikanyage nchini.




Kwa vile Tanzania ndiyo nchi pekee duniani iliyoko ukanda wa Tropic


Mnyama gani mliyenaye ambaye kwao hayupo? Na wamewachukua hapa hapa kwa kushirikiana na wezi wa ccm

Sasa mnalia lia nn kumshutumu Zito. Chukueni basi tuone kama mnazo. Na mngekuwa na hela bajeti yenu inhetegemea mabeberu kwa 44%?
Umeipata hiyo? Acheni mihemko. Kuweni wanaume na sio majike. Mkitishwa kidogo basi mnahaha. Komaeni.

Nyie enzi za vita vya Kagera msingeweza shinda vita. Mmelelewa kishogashoga na Rais wenu Mkwere yule. Hii nchi hivi sasa inatawaliwa na wanaume!!

Mnyama gani mliyenaye ambaye kwao hayupo? Na wamewachukua hapa hapa kwa kushirikiana na wezi wa ccm
Eti nini? Wezi wa CCM? CCM ipi? Iliyo ongozwa na Mkwere kama wewe? Mwanamme utakubali kuongozwa na watu dhaifu kama akina Kinana na Nape? Ndiyo maana sioni hajabu tuna watu ambao ni "memme"kama wewe. Uwoga mwingiii!
Sasa mnalia lia nn kumshutumu Zito. Chukueni basi tuone kama mnazo. Na mngekuwa na hela bajeti yenu inhetegemea mabeberu kwa 44%?
Nasikita hauko up to date. Hiyo ilikuwa asilimia ya Kikwete 2010 to 2015. Msukuma wetu ametushusha mpaka 13% na mwaka huu itashuka zaidi. Hilo ni Jembe "mgosi".

Sasa sielewi mnacho kitaka ni nini? Wakati wa kununua ndege si mliitukana serikali kuwa ni serikali ya kijinga kununua ndege cash. Leo tunachukua mkopo ili hela zetu za ndani zitumike katika miradi mingine hiyo pia nayo hamtaki. Mnataka nini sasa?

Kwa kifupi mkuu wapinzani mmeshindwa kuwashawishi watanzania walio wengi kukubaliana na sera zenu mbaya na potofu za kimkakati. Ndiyo maana mnakimbilia kwa mabeberu wenu mkitegemea wao wawasaidie. Niwakatishe tamaa hamtaweza.

Jaribu kuangalia mahesabu. CCM ina members wa chama chao karibu milioni 21. Nyie wote kwa pamoja hata kama mgekuwa na wanachama milion 5 bado hamjawashinda CCM kwa kutumia empirical Methodes (Kama uliyaona mahesabu vizuri chuoni utanielewa). Tukijumlisha na watanzania kama milion 10 ambao sio wanachama na ambao mtanyanganyana na CCM bado mta loose!

Sielewi huo ujasiri wa kudai kuwa mkipata tume huru na kubadili katiba ndiyo itawasaidia nyinyi kushinda uchaguzi sijui mnautoa wapi?

Kwenye vichwa vya Watanzania wamesha mchagua Rais wao naye ni JPM, utake usitake.That is the fact!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeipata hiyo? Acheni mihemuko. Kuweni wanaume na sio majike. Mkitiswa kidogo basi mnabaha. Komaeni.

Nyie enzi za vita vya Kagera msingeweza shinda vita. Mmelelewa kishogashoga na Rais wenu Mkwere yule. Hii nchi hivi sasa inatawaliwa na wanaume!!

[QOUTE]Mnyama gani mliyenaye ambaye kwao hayupo? Na wamewachukua hapa hapa kwa kushirikiana na wezi wa ccm[/QOUTE]Eti nini? Wezi wa CCM? CCM ipi? Iliyo ongozwa na Mkwere kama wewe? Mwanamme utakubali kuongozwa na watu dhaifu kama akina Kinana na Nape? Ndiyo maana sioni hajabu tuna watu ambao ni "memme"kama wewe. Uwoga mwingiii!
[QOUTE]Sasa mnalia lia nn kumshutumu Zito. Chukueni basi tuone kama mnazo. Na mngekuwa na hela bajeti yenu inhetegemea mabeberu kwa 44%?[/QOUTE]Nasikita hauko up to date. Hiyo ilikuwa asilimia ya Kikwete 2010 to 2015. Msukuma wetu ametushusha mpaka 13% na mwaka huu itashuka zaidi. Hilo ni Jembe "mgosi".

Sasa sielewi mnacho kitaka ni nini? Wakati wa kununua ndege si mliitukana serikali kuwa ni serikali ya kijinga kununua ndege cash. Leo tunachukua mkopo ili hela zetu za ndani zitumike katika miradi mingine hiyo pia nayo hamtaki. Mnataka nini sasa?

Kwa kifupi mkuu wapinzani mmeshindwa kuwashawishi watanzania walio wengi kukubaliana na sera zenu mbaya na potofu za kimkakati. Ndiyo maana mnakimbilia kwa mabeberu wenu mkitegemea wao wawasaidie. Niwakatishe tamaa hamtaweza.

Jaribu kuangalia mahesabu. CCM ina members wa chama chao karibu milioni 21. Nyie wote kwa pamoja hata kama mgekuwa na wanachama milion 5 bado hamjawashinda CCM kwa kutumia empirical Methodes (Kama uliyaona mahesabu vizuri chuoni utaniaelewa). Tukijumlisha na watanzania kama milion 10 ambao sio wanachama na ambao mtanyanganyana na CCM bado mta loose!

Sielewi huo ujasiri wa kudai kuwa mkipata tume huru na kubadili katiba ndiyo itawasaidia nyinyi kushinda uchaguzi sijui mnautoa wapi?

Kwenye vichwa vya Watanzania wamesha mchagua Rais wao naye ni JPM, utake usitake.That is the fact!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujajua maana ya mwanaume kwa ujumla africa ina wanaume wachache sana. Tutegemee kutawaliwa na wanaume halisi mpk tutakapoiitambua thamani yetu
 
Nadhani hujajua maana ya mwanaume kwa ujumla africa ina wanaume wachache sana. Tutegemee kutawaliwa na wanaume halisi mpk tutakapoiitambua thamani yetu
Tutajitambua vipi wakati nyie ndiyo mnao tusaliti kwa kushirikiana na mabeberu wenu?

Waulize vibaraka wenzako Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Maxence Melo kwanini hawajawauliza hao mabeberu wenu kuwa haki za binadamu zinawahusu waafrika tu? Wao haziwahusu? Mbona wao wamemwuua Brigedia mkuu wa Jeshi la Irani ambaye ni Diplomat, Je na Mike Pence Ndege yake ikitunguliwa akiwa katika diplonat mession ni sawa? Mbona wao hawaheshimu viongozi wa nchi nyingine? Wao ni mungu?

Kwanini wanamsaka Snowden? Kwao ni haki za binadam kumsaka Edward Snowden?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavi mavi
Tutajitambua vipi wakati nyie ndiyo mnao tusaliti kwa kushirikiana na mabeberu wenu?

Waulize vibaraka wenzako Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Maxence Melo kwanini hawajawauliza hao mabeberu wenu kuwa haki za binadamu zinawahusu waafrika tu? Wao haziwahusu? Mbona wao wamemwuua Brigedia mkuu wa Jeshi la Irani ambaye ni Diplomat, Je na Mike Pence Ndege yake ikitunguliwa akiwa katika diplonat mession ni sawa? Mbona wao hawaheshimu viongozi wa nchi nyingine? Wao ni mungu?

Kwanini wanamsaka Snowden? Kwao ni haki za binadam kumsaka Edward Snowden?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutajitambua vipi wakati nyie ndiyo mnao tusaliti kwa kushirikiana na mabeberu wenu?

Waulize vibaraka wenzako Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Maxence Melo kwanini hawajawauliza hao mabeberu wenu kuwa haki za binadamu zinawahusu waafrika tu? Wao haziwahusu? Mbona wao wamemwuua Brigedia mkuu wa Jeshi la Irani ambaye ni Diplomat, Je na Mike Pence Ndege yake ikitunguliwa akiwa katika diplonat mession ni sawa? Mbona wao hawaheshimu viongozi wa nchi nyingine? Wao ni mungu?

Kwanini wanamsaka Snowden? Kwao ni haki za binadam kumsaka Edward Snowden?
Tukubali tu hatuna wanaume wa kutupigania tutadharauliwa mpk hapo kitakapokuja kizazi cha wenye kujitambua. Ghadafi alipigwa hakuna mwanaume hata mmoja wa kutoka Africa aliyefungua mdomo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha LHRC kuandika hii taarifa ni kwamba kila mtu muhimu/taasisi/ngo wataogopa kujihusisha na Makonda. Kitendo tu Cha Makonda leo kutembelea banda lao tayari imekuwa doa kubwa kwao na kuamua kuondoa picha na hatimaye kutoa hii taarifa.

Makonda atatengwa na mwisho atabaki peke yake hakuna atakayejihususha naye kwa sababu kila atakayejihusisha naye ataonekana anashabikia ukiukwaji wa haki za raia nchini

Nilidhani dhana ya haki za binaadamu ni mfano wa sime inayokata pande zote, na si kisu cha mama ntilie chenye makali upande mmoja.

Kama ambavyo tunahitaji kupata haki zetu za kibinaadamu, vivyo hivyo tuheshimu haki za binaadamu wengine bila hiana! Vinginevyo ni undumilakuwili ambao hautatufikisha kokote zaidi ya jehanamu tunayoandaliwa, kama ile inayowatesa Wairaq na Walibya!
 
Sisi hatujali Marekani anamuua maana hatujamchagua. Lakini hatuko tayari rais na genge lake la kina Makonda kutunyanyasa, na kutuwekea viongozi wanaowataka wao. Hivyo tutawaunga mkono US kwa hatua kali watakazoichukulia nchi yetu.
Wewe lazima utakuwa toyoyo, Mmarekani anachofikilia nikuabudiwa Duniani kote. Wamemuua Kiongozi wa Irani hao LHRC walikuwa wapi? Wamefyata mkia na wamekuwa bariiidi, Wanatandika bakora Watu huko Afghanistan mbona hao LHRC hatuwaoni au hao siyo Human right Watch Bali Watengeneza na Watetea matumbo yao yanayolishwa na Wafadhili wao.
Tumewachoka nyie LHRC hamueleweki Lengo lenu hatujaona karipio dhidi ya Wamarekani ila kutwa kufuatilia matakwa ya Wamarekani yanalindwa.
Mbona Wachina wanapiga kazi na huko nyie mlitimuliwa. Kwa tabia za LHRC kuna haja ya kuwafanyia Tathimini ya utendaji kazi wao na kuchukulia hatua.
Labda kama sina kumbukumbu, Tujikumbushe kama kuna onyo wamewahi kulitoa dhidi ya Wamarekani na kama hawajawahi tuwakwepe hawafai.
 
Sikujua kama Tanzania Rais wake anaitwa Trump, nilifikiri Magufuli ni Rais wa Tanzania na Paul Makonda ni mteule wa Rais Magufuli. Sasa kama Trump au serikali ya Amerika imemzuia Mkuu wetu mpendwa wa Mkoa Paul Makonda kuingia Amerika ni sawa. Ni uamuzi wao kwa vile ni nchi yao. Kwa sababu ya uamuzi wao huo ambao ushahidi hawana utufanye sisi katika sovereign state tubabaike na kuacha kufanya shughuli zetu za kawaida? Hayo mambo yenu ya kanga pelekeni kwenye kuwacheza unyago mashoga wenu.

Sisi ni wanaume rijali hatutakubali eti tunaishi kwa ajili ya Amerika? Mambo ya Tanzania ni ya Tanzania nasi tuta retaliate vile vile. Tukiwafungia kuingia kuwaangalia wanyama wetu watatufanya nini?

Na tunaweza tukazuia activities zote wanazo zifanya hapa kwetu katika uchunguzi wa magonjwa ya Tropical kwa binadam na wanyama kwa mfano nani wataathirika?

Serikali yatu ina reserve ya US Dollar Billion 5.6 what is US Dollar million 500. It is nothing! Tuna weza kutoka kwenye Reserve yetu nani atapata hasara, sisi au world Bank?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho umeuliza swali la kipumbavu mno,tanzania inawezaje kuitia hasara marekani eti kwa kuwanyima kuja kuangalia mafisi? Huko kwao wana kila aina ya mnyama unayemsikia,tena akichafukwa ma roho anaweza tu kufanya hujuma hivyo vi mbwa koko na nyumbu na swala na tembo faru,nyati hadi fisi zikafa zote overnight,magufuli ameufyata,makonda amepiga kimya,wewe na mlevi msando ndiyo mnajitutumua tu humu,kwa kuwa hamjui athari ya mmarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikujua kama Tanzania Rais wake anaitwa Trump, nilifikiri Magufuli ni Rais wa Tanzania na Paul Makonda ni mteule wa Rais Magufuli. Sasa kama Trump au serikali ya Amerika imemzuia Mkuu wetu mpendwa wa Mkoa Paul Makonda kuingia Amerika ni sawa. Ni uamuzi wao kwa vile ni nchi yao. Kwa sababu ya uamuzi wao huo ambao ushahidi hawana utufanye sisi katika sovereign state tubabaike na kuacha kufanya shughuli zetu za kawaida? Hayo mambo yenu ya kanga pelekeni kwenye kuwacheza unyago mashoga wenu.

Sisi ni wanaume rijali hatutakubali eti tunaishi kwa ajili ya Amerika? Mambo ya Tanzania ni ya Tanzania nasi tuta retaliate vile vile. Tukiwafungia kuingia kuwaangalia wanyama wetu watatufanya nini?

Na tunaweza tukazuia activities zote wanazo zifanya hapa kwetu katika uchunguzi wa magonjwa ya Tropical kwa binadam na wanyama kwa mfano nani wataathirika?

Serikali yatu ina reserve ya US Dollar Billion 5.6 what is US Dollar million 500. It is nothing! Tuna weza kutoka kwenye Reserve yetu nani atapata hasara, sisi au world Bank?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hiyo reserve mnayodai kuwa mnayo unaitamka kuwa ni USD na sio Tsh, hata huoni aibu, wewe kama hauko Mirembe, nitashangaa sana.
 
Wewe lazima utakuwa toyoyo, Mmarekani anachofikilia nikuabudiwa Duniani kote. Wamemuua Kiongozi wa Irani hao LHRC walikuwa wapi? Wamefyata mkia na wamekuwa bariiidi, Wanatandika bakora Watu huko Afghanistan mbona hao LHRC hatuwaoni au hao siyo Human right Watch Bali Watengeneza na Watetea matumbo yao yanayolishwa na Wafadhili wao.
Tumewachoka nyie LHRC hamueleweki Lengo lenu hatujaona karipio dhidi ya Wamarekani ila kutwa kufuatilia matakwa ya Wamarekani yanalindwa.
Mbona Wachina wanapiga kazi na huko nyie mlitimuliwa. Kwa tabia za LHRC kuna haja ya kuwafanyia Tathimini ya utendaji kazi wao na kuchukulia hatua.
Labda kama sina kumbukumbu, Tujikumbushe kama kuna onyo wamewahi kulitoa dhidi ya Wamarekani na kama hawajawahi tuwakwepe hawafai.
Wasiojulikana kuwaumbua ni rahisi sana. Jiandaeni siku zenu zinaisha you blood suckers.
 
Wewe lazima utakuwa toyoyo, Mmarekani anachofikilia nikuabudiwa Duniani kote. Wamemuua Kiongozi wa Irani hao LHRC walikuwa wapi? Wamefyata mkia na wamekuwa bariiidi, Wanatandika bakora Watu huko Afghanistan mbona hao LHRC hatuwaoni au hao siyo Human right Watch Bali Watengeneza na Watetea matumbo yao yanayolishwa na Wafadhili wao.
Tumewachoka nyie LHRC hamueleweki Lengo lenu hatujaona karipio dhidi ya Wamarekani ila kutwa kufuatilia matakwa ya Wamarekani yanalindwa.
Mbona Wachina wanapiga kazi na huko nyie mlitimuliwa. Kwa tabia za LHRC kuna haja ya kuwafanyia Tathimini ya utendaji kazi wao na kuchukulia hatua.
Labda kama sina kumbukumbu, Tujikumbushe kama kuna onyo wamewahi kulitoa dhidi ya Wamarekani na kama hawajawahi tuwakwepe hawafai.

Hata jiwe anafikiria kuabudiwa tu, na sisi hatujali huyo Marekani anafanya nini hizo sehemu nyingine, bali tunajali uhayawani unaofanywa na awamu hii ya tano kwetu tusiousujudia. Sio jukumu la LHRC kuwakanya Marekani wanachofanya huko nje ya nchi yetu, bali jukumu lao Ni kukemea ubazazi wowote hapa nchini.
 
Back
Top Bottom