Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Luhaga Joelson Mpina akimtimua CCM chadema anapata mgombea takayebwaingizia kura nyingi sana Kwa kutumia jina la magufuli. Kula za ngosha atazibeba
Magufuli mwenyewe alikuwa anategemea wizi wa kura, sasa sijui ni kura zipi hizo za Ngosha.
 
Mkuu anzisha chama uchukue nchi. Sisi wapiga kura wengi tunaojitambua hatuna muda tena wa kupoteza kujitokeza kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Ila kwakuwa huko vijijini bado wanaimani na hayo maigizo yaitwayo uchaguzi, changamkia hiyo fursa kwa kuanzisha chama ubebe nchi.
 
Tuache masihara kama taarifa zinasema 2020 Hayati Dr Magufuli hakushinda Dr Samia atawezaje?
 
Waambie kina Makonda au Mpina waanzishe chama chao wabebe nchi. Urais unahitaji energy gani boss, au ukiww rais ubabeba matofali nini?
 
Upinzani wa akina Mbowe au unazungumzia Gen z wa Kenya?😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️

2025 mama anaramba 90% ya kura. Nchi hii hhaijawahi kupata wapigakura wanaojitambua.
 
Aione Tlantal, lucas na voice variable.
 
Upinzani wa akina Mbowe au unazungumzia Gen z wa Kenya?😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️

2025 mama anaramba 90% ya kura. Nchi hii hhaijawahi kupata wapigakura wanaojitambua.
Hahahaha ....Ndoto hizi
 
CCM waajabu sana, et Diwani darasa la 7 ananikolomea mi Doctor wa Binadamu mwenye Degree. Nilimwambia chezea wenginee.

Mkuu huyo hata ungesema antibiotic huku umekasirika.


Ungeshangaa police wanakuja kukubeba kwa kupata cm ya diwani kuwa umemtusi.
 
Huyu ni mrithi aloongezewa Muda huku ndg wakiendelea kuchakata mtu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…