Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe


Mfumo waliouweka CCM ni mgumu, kuuvunja itahitaji Chama pinzani Kiwe na wataalamu wa kuweza kuu- destabilise Kwanza Kabla hawajaudondosha.

Mpaka Sasa bado mfumo wa CCM upo strong, umejichimbia kwèñye maeneo nyeti Sana, kuacha Dola lenyewe, ukiingia kwèñye Dini wàpo, Burudani na michezo wàpo, n.k.

CHADEMA wamekosa Mbinu na wanahitaji Akili mpya kuiangusha CCM.

Ukiona Chama kinafikia hatua ya kulaumu Sijui Polisi, sijui Viongozi wa Dini, au Timu za Mpira na washabiki wake, Wakati hao ndîo wateja wènyewe àmbao Chama kinatakiwa kitumie Mbinu zozote kuwashawishi. Lakini kinatoa Lawama ujue kimeshindwa na kuishiwa Mbinu
 
Usifaninishe Kenya na Tanzania, kwa mujibu wa katiba ya kenya polisi haruhusiwi kumpiga muuandamaji. Pili technically Chadema wameshindwa kujua mtego wa kisheria uliowekwa na serikali eti ukitaka kuandamana lazima utoe taarifa. Maandano hayatangazwi, wamasai wa ngorongoro walimtangazia nani?
 

Huko Kenya waandamanaji kadhaa waliuawa na Risasi

Maandamano kutangaza au kuombwa KIBALI siô tatizo.
Watu walioamua kuandamana kibali siô kisingizio Wala Polisi siô kisingizio.
 
Wengi wako huko Ulaya na Marekani ndio maana wamejazana kwenye social media lakini mitaani hapa TZ hakuna.
 
Ni aibu kubwa sana kwa chama chadomo!! Wakina Erythrocyte waliingia mitini wakamwacha DJ na mtoto wake. Lakini kwenye mitandao walikuwa wanatisha ile mbaya. Sasa hivi hawaongei tena maandamano wamehamia kwa Kampuni ya Tigo!

Erythrocyte unaweza kueleza Kwa nini mliamua Kumtia Mwenyekiti Mbowe na Chama chenu aibu Kwa kiwango kile?

Kama lengo NI kufikisha ujûmbe, mlikosa njia ñyiñgine ya kufikisha huo ujûmbe Mpaka mkaamua kumfedhehesha Mwenyekiti na Chama chenu? Yaani kujivua nguo
 
Kenya vijana wengi ni chokola hivyo ni rahisi sana kuwashawishi kuingia kwenye maandamano tofauti na TZ vijana wengi wanashughuli za kufanyakazi mbalimbali pia Lema aliwadharau sana Bodaboda kwa kuwaambia eti ni kazi iliyolaaniwa na Mwenyezi Mungu wakati huko nyuma ndio walikuwa wanawategemea kwenye maandamano yao. Sasa watakula jeuri yao.
 
Kwani huko Tigo mnasemaje naona kwa moto unao waka
 
Heshima ililindwa ndio maana mbwa walizagaa mtaani.
 
Pale Magomeni Kikeke alikuwepo 😂😂
 
Uzushi umeandika wewe lakini unataka mimi nifafanue ili iweje?
 

Huwezi kuwa rafiki wa mungu na shetani wakati mmoja:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Unapambana vipi upande mmoja na wasiokuwa wenzako katika imani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…