Kivuli cha Hayati Magufuli kinataka kumtingisha Rais Samia

Watanzania ata kesho ukimuweka ‘Angela Kairuki’ kuwa raisi awatojali ili mradi maisha yawe na unafuu.

Wanajua uwezi watengenezea ajira wote, uwezi zuia mijizi yote serikalini na wala kutatua shida zao zote pamoja na kuwaondolea umaskini...
Watakuelewa watu wachache Sana. Na kwakuwa JPM alikuwa ametofautiana na wanasiasa matajiri ndiyo maana kelele zilipata nguvu Sana.

Kelele za sasa hazipati nguvu kwakuwa zinatoka kwa wanyonge. Matajiri na wanasiasa mambo yao yamenyoka.
 
Hapa ndio nimekuelewa ulianza kumsifia marehemu kumbe kinafiki, kumbe ni mlamba asali.

Leta maji na umeme, wacheni propaganda za kishamba. Kuongoza nchi sio kama kucheza mdako
Yale yale ya marehemu alipokuwa hai. Kutotaka kukosolewa, tatizo ni zile hisia kama za uyanga na usimba kuweka vitu moyoni.

Kumkosoa mtu sio kwamba unamchukia, unataka abadilike mahali fulani kwa faida yake mwenyewe.

Hunijui hivyo huwezi kuniita mlamba asali.
 
Udhaifu maana yake ni mtu yeyote anapoacha kuchukua hatua stahiki hasa kwa wateule wake au watu walipo chini yake ambao hawatimizi wajibu wao kikamilifu katika nyadhifa zao walizokabidhiwa !! Ña pili kushindwa kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya Nchi hata kama hayo maamuzi magumu yatawagusa watu walio karibu sana na wewe !! Huo ndio huwa unaitwa udhaifu kwa mtazamo wangu. !!
 
Watakuelewa watu wachache Sana. Na kwakuwa JPM alikuwa ametofautiana na wanasiasa matajiri ndiyo maana kelele zilipata nguvu Sana.
Kelele za sasa hazipati nguvu kwakuwa zinatoka kwa wanyonge. Matajiri na wanasiasa mambo yao yamenyoka.
Huo ndio ukweli

Media bado azimkosoi raisi Samia
Polisi bado wanazuia mikutano
Kila be kitu cha demokrasia kiko vilevile toka enzi za Magufuli.

Tofauti sasa hivi mijizi inapumua na ndio watu wenye uwezo wa kuajiri watu kutukana siku nzima mtandaoni na hoja zao wanazoamini wenyewe.
 
JK alihudhuria karibia Kila mkutano mpaka iliyofanyika uchochoroni. Cha maana alicholeta ni kipi zaidi ya Symbion, Twiga kuibiwa, zaidi ya the so called wanadiplomasia kujipigia hela kwa kivuli Cha safari za mikutano hiyo.
 
Watakuelewa watu wachache Sana. Na kwakuwa JPM alikuwa ametofautiana na wanasiasa matajiri ndiyo maana kelele zilipata nguvu Sana.
Kelele za sasa hazipati nguvu kwakuwa zinatoka kwa wanyonge. Matajiri na wanasiasa mambo yao yamenyoka.
Hakika kabisa 👍
 
Raisi hawezi kusikiliza wala kutaka ushauri kutoka kwa kila mtanzania. hao wanaomshauri huko wanatosha!
hapa hakuna ushauri ni maseng'enyo tu!
JPM atabaki kuwa JPM, SSH/SSH
kazi iendelee
 
Until that day - when we Will get government of the people by the people for the people ?!
 
Umejificha kwenye ujinga ili utufanye na sisi wajinga!
Hakuna wafuasi wa JPM bali kuna wafuasi wa kupenda maendeleo, kuchukia wizi, wapenda maendeleo kwa kasi ya JPM
Kama unafurahia
Wizi unapofanyika
Madini yanayotoroshwa
Wanavyuo kukosa mikopo
Miradi kukwama
Huduma za umeme na maji hakuna
Mfumuko wa bei kutisha
Tozo za ajabu ajabu
Nk nk
Kama bado ni mfuasi wa Samia ukapimwe akili
 
Kwanini huyu anafanya blanda asikosolewe? Maji na umeme ni vitu vya anasa
 


JF Admin

Inakuwaje naona post za huyu binadamu?

Wakati nilimblock!

Naomba ufafanuzi
 
Tunashukuru sasa umeamua kuachana na marehemu rasmi kuja kulamba asali. Tulikuwa tunakutizama tu tunajua nazi haishindani na jiwe. Karibu sana upande huu. Sasa unaweza rasmi nawe ukaanza kuelezea mabaya ya magufuli. Mama anafungua nchi na tujajenga nchi huku tukilamba asali. Usiache kuonekana huku sasa ukitupia nyuzi hapa na pale...
 
maji na umeme ni kikwazo kikubwa ukijumlisha na mfumuko wa bei za bidhaa bila kusahau tozo na bando!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…