Vema mkuu wana barabara ya njia sita wana treni yamwendo kasi mombasa Nairobi wana fly over wana demokrasi ya siasa uhuru wa mahakama bado huoni kuwa wametuacha angalia hata fedha yao kwa dorali penye ukweli uongo hujitenga mkuu
Ulitaka likae kama yai?Mbona linekaa kama box?
Dah....wabongo tuichangamkie....tuwaunge mkono wenzetu[emoji87]
Utake usitake Kenya wametuzidi kila konaushamba mzigo kwa kweli!!
kaangalie kibera ndio utaifahamu kenya
kenya itaendelea tu kama kibera slum ikiondoka, bila hivyo hauwezi kusemw imeendelea kwa kuwa na hivyo vitu
ebu tafiti kabla haujatukanwa humu
Hahahaaa wonders shall never end, rais aokota vichwa vya treni bandarini.Breaking news!!! polepole aubomoa upinzani kilimanjaro
Naona unajifanya huyaoni mabadiliko Tanzania tuyoyapata kwa sasa.Ishu ni kuchagua kuwa mpiga zumari wa Kenya na kuponda ya Tanzania. Ni kweli Kenya imepiga hatua na hatua ilizopiga hazitofautiani na harakat anazofanya jpm kufikia hatua za Kenya.mfano Kenya wakati wanajenga reli,flyover na kununua ndege matatizo kama ajira,huduma mbovu za afya na mishahara midogo iikuwepo.Kenya hadi sasa hayo matatz yapo lkn bado inaendelea kuboresha miundombinu.Hufuatilii siasa chafu za UK dhidi ya wapinzani wake na zaid umejikita kuangalia tabasam lake.Jitaihid kufuatilia makala za jicho pevu uone mauaji ya saitoti,viongoz wa dini na madhira kibao.Naona unajifanya huyaoni maendeleo ya jirani zako unashikilia ujinga wa nyumbani kwako,jifunze kutoka kwa jirani yako
Bora kukaa kama box kuliko kuwa busy na nabii titoMbona linekaa kama box?
Pimbi ni mamakoNaona unajifanya huyaoni mabadiliko Tanzania tuyoyapata kwa sasa.Ishu ni kuchagua kuwa mpiga zumari wa Kenya na kuponda ya Tanzania. Ni kweli Kenya imepiga hatua na hatua ilizopiga hazitofautiani na harakat anazofanya jpm kufikia hatua za Kenya.mfano Kenya wakati wanajenga reli,flyover na kununua ndege matatizo kama ajira,huduma mbovu za afya na mishahara midogo iikuwepo.Kenya hadi sasa hayo matatz yapo lkn bado inaendelea kuboresha miundombinu.Hufuatilii siasa chafu za UK dhidi ya wapinzani wake na zaid umejikita kuangalia tabasam lake.Jitaihid kufuatilia makala za jicho pevu uone mauaji ya saitoti,viongoz wa dini na madhira kibao.
Jpm akinunua ndege mnaleta kelele ooh watu hawana ajira ye ananunua ndege,mbona hampigi kelele mwaka Jana umetokea mgomo Kenya na serikali yao haikusitisha mpango wa kununua ndege?Mlivyo mapimbi mnayosifia Kenya ndio yanayofanyika Tanzania sema mmeamua kuwa upande wa kupinga kila kitu.Wakenya wana akili sana,wao wanasifia kila kitu chao na hata kama sio chao wanataman kiwe chao.Hukuti Raila anakuja Tanzania kuitisha press Tanzania kuiponda serikali ya Kenya.Hakuna serikali inachowafanyia zaid ya uzalendo wao.Kuna migogoro mingi sana Kenya lkn hukuti mtu analeta tabia za NYUMBU wa ufipa.
Niseme tu,anachofanya jpm kwa sasa tulichelewa sana,wenzetu walikifanya mda sana na ktk mazingira kama hayahaya.Utofauti ni wakenya akili nyingi na hawana siasa za kipumbavu za kupinga kila kitu cha serikali.
Hahahahahahahah huu mchezo hauhitaji hasira.Pimbi ni mamako