Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Nimeogopa sana.Yan inatisha mnoo.Nimeamin hii generation haiwez kutusaidia lolote,mzee kinana sio wa kuwa mpumbavu kiasi hikiDuh...!, ma ukweli mengine kama haya, ni ukweli mchungu!, very bitter to swallow ila ndio ukweli!
P
Hilo unalolisema nusu na robo ya watanzania hawalijui, hawajui kuwa they have power to remove the president from the office when he/she goes against their will.Rais ni mwajiriwa wetu.. Rais si mungu.. Hivyo vyote si mali yake binafsi ni vya wananchi wenye nchi! Kama kafanya kafanya kwa mujibu wa katiba na si hisani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiufuta watamtawala nani!?Naunga mkono hoja.
Huwa najiuliza sana maana sioni juhudi zozote za kufuta ujinga zaidi ya kuuendeleza.
Katiba katibaRais wa Tz ana madaraka makubwa mno, hata hizo hisani anaweza kuziminya tu na mambo yakaendelea kama kawaida tu(rejea katazo la JPM kuzuia mikutano ya kisiasa).
Ukifahamu hilo utawaelewa hao unaowaponda.
CCM walisha amua kwenda na kundi la wajinga wengi...huo ndio.mtaji wao!Eti Kinana naye kabisa ni wa kusema kuwa CDM wamepewa ruzuku na Samia!!??
Kweli kabisa hii ni stupidity of the highest level.
Sasa mwananchi wa kawaida si atakuwa mara 1000 ya huyo!!??
Nakipenda sana hicho kitabu ambacho jina lake umelifanyanprofile jina lakoMimi kama mwanaCCM hai, naona aibu na kujisikia vibaya kukili kuwa mtoa hoja yuko sahihi. Ni aibu sana.
Huu ujinga ni mtaji hauwezi kufutwaNaunga mkono hoja.
Huwa najiuliza sana maana sioni juhudi zozote za kufuta ujinga zaidi ya kuuendeleza.
Ujinga wako ndio mzigo zaidi Kwa NchiKichwa cha mada kinajielezea.
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].
Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.
Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.
Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.
Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.
Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.
Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.
Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.
Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.
Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Habari hizi zimfikie Chawa mwandamizi FaizaFoxyKichwa cha mada kinajielezea.
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].
Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.
Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.
Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.
Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.
Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.
Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.
Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.
Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.
Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Jinga certified wahedUjinga wako ndio mzigo zaidi Kwa Nchi
But it is the way forward & working outThis is the wrong mindset and approach..
Mkuu umeongea ukweli mtupu. Ila hii ignorance na stupidity ilianzia awamu ya 5. Nashangaa kila kinachofanywa na serikali utasikia rais katoa hela. Yani hadi madaktari wakitibu mgonjwa akipona sifa zinaenda kwa rais.Kichwa cha mada kinajielezea.
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].
Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.
Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.
Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.
Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.
Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.
Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.
Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.
Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.
Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
It’s not the way forward. It’s backwards and downward.But it is the way forward & working out
Upo sahihi kabisa, ndiyo maana Mwalim JK Nyerere alisema hivi "Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana JEURI na wenye KUJIAMIN, si vijana waoga akina "NDIYO BWANA MKUBWA" Vijana wenye ujasiri wa kuhoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshahibiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania".Kichwa cha mada kinajielezea.
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].
Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.
Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.
Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.
Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.
Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.
Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.
Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.
Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.
Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Tena mjinga wa kwanza ni wewe uliyekuwa unatetea ukatili wa magufuli humu.Kichwa cha mada kinajielezea.
Ni zaidi ya ujinga [ignorance]. Ni upumbavu [stupidity].
Rais Samia karuhusu mikutano ya vyama vya siasa.
Rais Samia kavipa vyama vya siasa ruzuku.
Rais Samia kamlipa Tundu Lissu stahiki zake za kibunge.
Rais Samia katoa mabilioni huku na kule.
Watu ambao mtu unaweza kudhani kuwa wana uelewa wa msingi tu wa jinsi ambavyo serikali inaendeswa, ndo wanaoongoza kwa huu upumbavu.
Sasa pata picha ya raia wengine ambao labda hawana uelewa wa kutosha kuhusu elimu ya uraia kwa ujumla.
Kama wale wanaoonekana kuwa na uelewa ndo wanaoongoza kwa upumbavu na ushabiki wa kujitoa akili, nchi hii Ina matumaini gani yaliyo halisi ya kupata maendeleo?
Matakwa ya kikatiba na kisheria siyo fadhila wala hisani ya Rais Samia wala Rais mwingine yeyote yule.
Kama hao chawa wa Samia wanayachukulia hayo matakwa ya kikatiba na kisheria kuwa ni hisani na fadhila ya huyo mama yao, basi huyo mama ni dikteta.
Maana kwenye udikteta huwa hakuna cha katiba wala sheria. Ni mwendo wa amri, hisani, na fadhila za dikteta tu.
Tanzania tuna idadi kubwa sana ya wajinga, wapumbavu, na mazuzu, wakiwemo viongozi wa serikali na vyama.
Na ndo maana si bahati mbaya kuwepo kuwa kwenye hali tuliyonayo.
Labda wanalazishwa kfanya mikutano ndio maanaEti Kinana naye kabisa ni wa kusema kuwa CDM wamepewa ruzuku na Samia!!??
Kweli kabisa hii ni stupidity of the highest level.
Sasa mwananchi wa kawaida si atakuwa mara 1000 ya huyo!!??