Hilo unalolisema nusu na robo ya watanzania hawalijui, hawajui kuwa they have power to remove the president from the office when he/she goes against their will.
Ni CCM ndio imetengeneza hii hali kwa manufaa yao na si kwaajili ya majority ya watanzania. Tuamke
Magufuli nimempinga sana humu. Unabisha?Tena mjinga wa kwanza ni wewe uliyekuwa unatetea ukatili wa magufuli humu.
Kipindi cha msukuma mwenzako ulikuwa unamtetea humu kila siku. Saivi hayupo ndo unaponda CCM kuna ujinga. Wewe ni mbaguzi tu na kila siku hoja zako zinaangalia nani yupo upande wako. Tunaokujua hutusumbui humu
Unadhani hatukujui sio?Magufuli nimempinga sana humu. Unabisha?
Hilo dhahiri kabisa!Unadhani hatukujui sio?
Huu ni muendelezo wa the anatomy of stupidity!, kitu kizuri kumhusu Rais Samia, intermsy of intellect, and I.Q she is not kivile sana kama yule, Blaza wangu, but she is not stupid!, aliwahi kuwaagiza watoaji haki, Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha hakiUkiwasikikiza chawa wa Samia, ni kana kwamba kila kitu kinamilikiwa na Samia, kila kitu ni fadhila na hisani yake.
Si ajabu katika akili zao wanaamini kabisa kuwa Samia anayamiliki hata yale majengo ya ikulu ya Dar es Salaam na Dodoma.
Si ajabu pia wanaamini kwa dhati kabisa zile gari apandazo Samia ni za kwake binafsi.
Sasa kama rudimentary knowledge ya mambo ni mgogoro, je kwa mambo yaliyo changamani hali ikoje?
one good thing about this lovely lady, atatufikisha pazuri!.
Ogopa sana kundi la wajinga
Mkuu Lord denning , ukichukua jina la mtu mashuhuri kama Lord Denning, lazima umuishi na kuliishi hilo jina!. Nadhani JPM alikosolewa na Kanda ya Ziwa kuliko wengine wote!.Tena mjinga wa kwanza ni wewe uliyekuwa unatetea ukatili wa magufuli humu.
Kipindi cha msukuma mwenzako ulikuwa unamtetea humu kila siku. Saivi hayupo ndo unaponda CCM kuna ujinga. Wewe ni mbaguzi tu na kila siku hoja zako zinaangalia nani yupo upande wako. Tunaokujua hutusumbui humu
Kwasababu viongozi wengi ni wajinga, hivyo ukijifanya ni mwerevu huwezi kupata uongozi. Hivyo ni lazima ujivike ujinga ndio utapata fursa ya uongozi.Na usipokuwa mjinga Tanzania hupati fursa ya kuongoza.
Kama ulivyo wakoUjinga wako ndio mzigo zaidi Kwa Nchi
Aah wapi, au unadhani tulikuwa hatuoni kipindi cha dhalimu?Mkuu Lord denning , ukichukua jina la mtu mashuhuri kama Lord Denning, lazima umuishi na kuliishi hilo jina!. Nadhani JPM alikosolewa na Kanda ya Ziwa kuliko wengine wote!.
P
Sasa sheria ni za nini kama huhitaji kubembelezana? Ukiona mtu anatumia nguvu badala ya sheria, ujue hana uwezo, na amepata nafasi hiyo ya uongozi kwa ghiliba, hivyo namna pekee ya kulinda hiyo incompetence ni kutumia mabavu.Nchi haiendeshwi kwa kubembelezana ukijifanya kufuata sana sheria sijui taratibu utachelewa sana.
Kwa aina ya chaguzi zetu zilivyo za kihayawani, lazima kila kiongozi aongee kwa kujinyenyekeza kwa rais, maana karibia wote hawapo hapo walipo kwa ridhaa ya umma, bali hisani ya rais.Tusipoamua kujichanganua nchi haiwezi kubadilika kwa lolote.
Nchi hii kuanzia waziri mkuu ni chawa hajitambua, hawezi kuongea kitu kama kiongozi aliyepo kisheria bali kama vile uwaziri mkuu ni hisani.
Kila kitu akitamka lazima antamke rais
Taratibu, kidole na macho!ambo linaloashiria kuwa hata yeye ni mulemule tu.