Kiwango cha ujinga cha viongozi wa CCM, mashabiki wao, na raia kwa ujumla, kinatisha!

Magufuli nimempinga sana humu. Unabisha?
 
Huu ni muendelezo wa the anatomy of stupidity!, kitu kizuri kumhusu Rais Samia, intermsy of intellect, and I.Q she is not kivile sana kama yule, Blaza wangu, but she is not stupid!, aliwahi kuwaagiza watoaji haki, Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
hivyo tunamshauri asiruhusu na asinyamazie hii stupidity ya wasaidizi wake, kumsifia anapotimiza wajibu wake kwa fedha zetu, wanamuita ni fedha zake!, hata akikopa, wanaolipa ni sisi walipa kodi, ingekuwa na yeye analipa kodi, then kwenye hiyo fedha angeweza kuwa na fedha yake, but very unfortunately yeye ni tax exempted!. Hii ya fedha zetu za kodi zetu ndio zinaitwa zake!, ni stupidity tuu!. Niliwahi kushauri Kuepuka Double Standards ya Kodi, Nashauri Rais Uongezwe Mshahara, Ili Alipe Kodi, Wote Tulipe Kodi!
one good thing about this lovely lady, atatufikisha pazuri!.
P
 
Mkuu Lord denning , ukichukua jina la mtu mashuhuri kama Lord Denning, lazima umuishi na kuliishi hilo jina!. Nadhani JPM alikosolewa na Kanda ya Ziwa kuliko wengine wote!.
P
 
Nchi haiendeshwi kwa kubembelezana ukijifanya kufuata sana sheria sijui taratibu utachelewa sana.
Sasa sheria ni za nini kama huhitaji kubembelezana? Ukiona mtu anatumia nguvu badala ya sheria, ujue hana uwezo, na amepata nafasi hiyo ya uongozi kwa ghiliba, hivyo namna pekee ya kulinda hiyo incompetence ni kutumia mabavu.
 
Mie narusha picha tu kama ushahidi au niweke na ka video?? Hii thread unaweza kuombea Mkopo pale BOT
 
Tusipoamua kujichanganua nchi haiwezi kubadilika kwa lolote.
Nchi hii kuanzia waziri mkuu ni chawa hajitambua, hawezi kuongea kitu kama kiongozi aliyepo kisheria bali kama vile uwaziri mkuu ni hisani.

Kila kitu akitamka lazima antamke rais
Kwa aina ya chaguzi zetu zilivyo za kihayawani, lazima kila kiongozi aongee kwa kujinyenyekeza kwa rais, maana karibia wote hawapo hapo walipo kwa ridhaa ya umma, bali hisani ya rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…