Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

Ukitoka kama huna usafiri unadaka
Boda
Mkifika mbelembelle anakubananisha[emoji23][emoji23]
Hahahahhahah...sasa mkuu, hahaha...si utamuelekeza unapoenda! Mi nimewahi kwenda kama mara mbili hivi...kuna washikaji zangu walinipa location, nilipaona pako pouwa tu...full shangwe.
 
Hahahahhahah...sasa mkuu, hahaha...si utamuelekeza unapoenda! Mi nimewahi kwenda kama mara mbili hivi...kuna washikaji zangu walinipa location, nilipaona pako pouwa tu...full shangwe.

Ila wanaume huwa mnajiamini hata mkiwa Tungi

Nitapita hapo saa moja jioni hadi mwisho muda wa Mwendokasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…