Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
KB fujo sana kama upo sokoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KB fujo sana kama upo sokoni
Inawezekana mkuu! Ila leo sikuja na ungo si unajua shule zimefunga walimu tupo likizo Dar
Mkuu yupo vyombo hatari[emoji1787]
Hahahahhahah...sasa mkuu, hahaha...si utamuelekeza unapoenda! Mi nimewahi kwenda kama mara mbili hivi...kuna washikaji zangu walinipa location, nilipaona pako pouwa tu...full shangwe.Ukitoka kama huna usafiri unadaka
Boda
Mkifika mbelembelle anakubananisha[emoji23][emoji23]
Unataka kuleta habari za Rambo?Bia+@financial services + good music =?
=good dreams ukienda kulala mkuu, let's refresh our minds , maisha ndiyo haya hayaBia+@financial services + good music =?
Hahaha...wameDizaini tofauti na sehemu nyingi...hahaKuna hadi swimming pool ukilewa unsogelea pombe zikikutoka unatufi tena kunywa
Hahahahhahah...sasa mkuu, hahaha...si utamuelekeza unapoenda! Mi nimewahi kwenda kama mara mbili hivi...kuna washikaji zangu walinipa location, nilipaona pako pouwa tu...full shangwe.
Karibu sana mkuuNimekupata ticha endelea kula raha daslama.
Njoo 5N, toto kama zote
Hahahah...umeimba vizuri.Mi ndo nilikuja kukutunza hela[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ndiye huyu dada mwembamba aliyekua anaimba mkuu! Nimevaa kimini[emoji14] upo around?
Life is too short...=good dreams ukienda kulala mkuu, let's refresh our minds , maisha ndiyo haya haya
Angalia usije ukazama banaKuna hadi swimming pool ukilewa unsogelea pombe zikikutoka unatufi tena kunywa
Karibu sana mkuu
Kaongo kumbe hata haupo aargh 😬😬Hahahah...umeimba vizuri.Mi ndo nilikuja kukutunza hela[emoji23][emoji23][emoji23]
Sipo mkuu, ningekuwepo lazima ningekununulia Kuku[emoji23]
We jamaa fala sana[emoji1787][emoji1787][emoji23]Angalia usije ukazama bana
Haha nilianzia Apo Ni shida now naelekea micassa nimeitwaaKB fujo sana kama upo sokoni
Ila kutembea usiku kwenye viwanja tofauti kuna raha yake sn.Ila usilewe chakali uwe unajielewa tu.
Leo nipo geto nakula gospel alone tu.Nahisi Mungu ananiokoa niokoke