Nimesikia tukio la dereva kutaka kuwaua Askari ila wakamuwahi, jambo hili sijalishangaa kwangu naona kuwa ni jambo sasa Serikali kuweka vifaa maalumu pale kwenye kizuwizi kuwasaidia hawa Askari.
Kiufupi ukiwa kusini ukimuuliza dereva au mtu anaye ijua hiyo barabara atakwambia askari wapale Lindi ni hatari why?
Pale ndio stop point, utapita kote utahonga kote ila ukifika na mzigo Lindi kazi unayo pale wale jamaa hata kama watasema wanachukua rushwa minu nadhani itakuwa rushwa sio ya kawaida ila wapo makini hupiti kama una haramu umebeba na huo ndio ukweli.
Kwa wale wataalam wa yale yanayoendelea kusini utakubaliana na mimi Lindi hapawezi kuwa sehemu ya kupenda na maharamia au madereva wanaobeba magendo.
Niwape pole jeshi la polisi na niwatie nguvu kukaza bidii. Kazi na iendelee.
Kiufupi ukiwa kusini ukimuuliza dereva au mtu anaye ijua hiyo barabara atakwambia askari wapale Lindi ni hatari why?
Pale ndio stop point, utapita kote utahonga kote ila ukifika na mzigo Lindi kazi unayo pale wale jamaa hata kama watasema wanachukua rushwa minu nadhani itakuwa rushwa sio ya kawaida ila wapo makini hupiti kama una haramu umebeba na huo ndio ukweli.
Kwa wale wataalam wa yale yanayoendelea kusini utakubaliana na mimi Lindi hapawezi kuwa sehemu ya kupenda na maharamia au madereva wanaobeba magendo.
Niwape pole jeshi la polisi na niwatie nguvu kukaza bidii. Kazi na iendelee.