Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Huyo Dereva ni Bwege Sana, yaani Una Roli, halafu unashuka kwenda kuwashambulia Polisi wenye SMG Kwa KisuHiyo taarifa ya polisi naitilia mashaka,dereva mwenye kisu atake kuwaua askari 4 wenye siraha?.hapa kuna vitu vingi vimefichwa,Polisi wetu wanajulikana kwa kuficha taarifa ili kulindana.
Kwanini asingemalizana nao Kwa kuwagonga na roli