Kizuwizi cha askari wa Lindi, ni moja ya vizuwizi maharamia na magaidi wanakichukia sana

Kizuwizi cha askari wa Lindi, ni moja ya vizuwizi maharamia na magaidi wanakichukia sana

Mbona huo utaratibu ulikuwepo huko nyuma, hata kipindi cha kikwete alishawahi kuunda tume ya ki jaji, ikaongozwa na jaji KIPENKA, baada ya vifo vyenye utata vya wafanya biashara wa madini waliouawa na askari, ukweli ukabainika kuwa hawakuwa majambazi, na kuna askari walihukumiwa kunyongwe!!tatizo hili hasa liliota mizizi awamu ya 5, baada ya meko kuwapa mamlaka ya kuua tu , hivyo hawaogopi tena kwani hakuna kuundiwa tume ili kubaini ukweli wa hizo taarifa zao, juu ya mauwaji ya raia!!ila zamani walikuwa wanaogopa kwani kama wakimuua jambani lakini mazingira ya mauaji hayo yakawa na utata inaundwa tume!!!
Tatizo la tume ni mpaka watu walalamike sanaa na rais aingilie kati kuiunda, vinginevyo inapita kimya kimya... Lakini kukiwa na chombo cha kikatiba undetandaji wao utakuwa unachunguzwa na pale yanapotokea mauaji yenye utata chombo kinafanya uchunguzi maalum na wakipatikana na hatia wanasjgulikiwa fasta, mbona wangeogopa?
 
Mimi mwenyewe nipo huku kusini/Masasi hii ishu kumbe ni usanii wa polisi wametunga na wameiba pesa na vitu vingine.
Kumbuka haya Magari wanakuwa na Dereva pekeyake Kwanza polisi walianza kufyatua risasi Kwenye matairi mpaka gari ikahama njia na jamaa alivyoshuka akapigwa risasi
Jamaa alipigwa risasi akiwa ndani ya gari?
 
Tena hakuna maaskari wala rushwa kama hao waoLindi nuksii!!aunty yangu alikamatwa na pembe za ndovu walimtoa 60mils..mbwa tu hao askari wa Tanzania ni mashetani kabisaa..hayafai
Shangazi yako alitoa?
 
Tafuta hela usikariri mambo ya katiba haimlishi mama yako wala familia yako.
Makatili yataendelea kuwa makatili na wewe unaingia nyumba za ibada zinazohubiri upendo,shetani mkubwa kwako fedha ndio kila kitu,wapi uliona fedha zinakupeleka kaburini?middle class aliye mpumbavu na katili mno.
 
Difenda ilisindikiza magendo?
mbele ya 60m....chezea pesa wewe nnachokuambia alisimulia mwenyewe kwa mdomo wake na wenziwe walokuwepo enzi izoo!!!!ila kwa magufuli aliwanyoonya ameacha hizi mishe!maana wengi walipotea
 
mbele ya 60m....chezea pesa wewe nnachokuambia alisimulia mwenyewe kwa mdomo wake na wenziwe walokuwepo enzi izoo!!!!ila kwa magufuli aliwanyoonya ameacha hizi mishe!maana wengi walipotea
Poleni sana, Walifunga kampuni mkuu??
 
Back
Top Bottom