Mtoa hoja hii ni shetani na katili mno na ni hatari mno maana anatuletea familia iliyojaa ukatili,story iliyosikika hapa ni ya upande mmoja tu,dereva mwenye kisu(sina hakika nalo)ashambulie askari mwenye SMG!huu ni uongo at it's best na elewa dereva huyu amepata ajali!key witness ni abiria waliokuwepo hapo na mimi siamini kabisa story ya rpc,ndio maana nchi inahitaji KATIBA mpya maana itatuletea IPID (kama MPs wa jeshi)na kesi hii ingechunguzwa na hawa IPID,mtoa hoja hii ni mkatili mno na mpenda trigger happy policemen