Kizuwizi cha askari wa Lindi, ni moja ya vizuwizi maharamia na magaidi wanakichukia sana

juz kati nikajichanganya huko kusin kununua korosho nilichokutana nacho ckuamin. ni kama nipo kabul afghanistan.
 
Tena hakuna maaskari wala rushwa kama hao waoLindi nuksii!!aunty yangu alikamatwa na pembe za ndovu walimtoa 60mils..mbwa tu hao askari wa Tanzania ni mashetani kabisaa..hayafai
 
Kwahiyo unaamini kuwa Dereva alienda na kisu kuwashambulia Askari?
Au Dereva alikuwa chizi? Kwa akili ya kawaida inawezekana vipi Dereva aende kuwashambulia Askari huku akiwa Hana hata wembe? Jiulize Kwann gari ilishambuliwa Kwa risasi?
Maaskari wa bongo wana roho mbaya Sana'a!ndio maana yanakufa Vito vya ajabu ajabu!
 
Kazi ya upolisi ni dhulma tupu,ndio maana asilimia 95 ya mapolisi baada ya kustaafu wanakuwa madhalili na wanakufa kwa mateso mungu analipa kwanza duniani
Kuna askari wanashirikiana na watuhumiwa na wake za watuhumiwa kuficha baadhi ya Mali zilizopatikana kwa njia ya wizi lengo ni kua wakitoka jela askari wagawane na watuhumiwa hizo nyumba..

Wale jamaa wa Kesi ya kupora mabilioni ya NBC walinunua nyumba za baada ya pale mbali mbali na magari,kilichofanyika mahakamani wameorodhesha magari tu na baadhi ya Mali lakini nyumba hawajaorodhesha lengo ni kua kesi ikiisha zile nyumba wagawane maaskari na Watuhumiwa then jitu linakuja linasema Polish waadilifu...
Maaskari wa Tanzania ni laana tu!wachache sana ndo wàadilifu wengi hovyooo!!
 

acha upumbavu wewe,usitake watu waandike na vingine visivyohitajika hapa.

kwahiyo baada ya kumpora wakampiga risasi!!nawewe umetuliza jiwe lako hilo juu huko unaona ni sawa kabisa.
 
Hiyo taarifa ya polisi naitilia mashaka,dereva mwenye kisu atake kuwaua askari 4 wenye siraha?.hapa kuna vitu vingi vimefichwa,Polisi wetu wanajulikana kwa kuficha taarifa ili kulindana.
Yaani polisi wanatuhumiwa lakini wao ndiyo wanajichunguza
 
Huo ndiyo ukweli
 
Tafuta hela usikariri mambo ya katiba haimlishi mama yako wala familia yako.
 
hv kwel haujui km kisu n silaha hatar
Punguza undezi weweee yaani unisogelee na kisu huku nina SMG au Pistol nakuangalia tuu mpaka unanifikia? Hivi huko chuoni CCP Moshi huwa wanasoma nini hasa?
 
Exactly, hivi mkuu lile sakata la akina Zombe na mapolisi wenzake kama JK asingeunda ile tume si watanzania tungekuwa tumelishwa matango pori kwamba wale vijana wa Mahenge wauza madini walikuwa ni majambazi? Can you imagine jinsi polisi wanavyoweza kudhulumu roho za watu sababu tuu ya fedha??
 
Kwa hiyo tukiandika katiba mpya hatutakuwa na jeshi la polisi? Hawatakuwa na silaha? Hakutakuwanna vizuizi? Hakutakuwa na wahalifu?
Katiba mpya inaweza kuunda chombo cha ku oversee mapolisi, kwa sasa police anaweza kufanya lolote na asiwajibishwe. Katiba mpya inaweza kuja na mapendekezo ya IGP kupatikana kupitia chombo maalumu, tena kwa interview, halafu majina mawili ya walioshinda akapelekewa rais kuchagua mmoja na kuapishwa. Katiba mpya inaweza kuleta mfumo mpya wa uanzishwaji wa hizi check points iweje na iwe ni lazima zote kuwekwa CCTV camera...
 
Mkuu hili wengine tulishahisi kwa sababu tunajua issues za hawa mapolisi wetu...
 
Polisi kwa magendo wameshindikana hiyo hata wakuu wao wanajua bayana njaa mbele pesa mbele kama tai...
Sasa traffic anachukua rushwa wa buku mbili mpaka tano, ndiyo akute dereva katoka Kigoma au Katavi huko kabeba mizigo ya njiani mpaka anafika Lindi ana milioni yake moja au mbili na amedinda kuitoa ni nini kitafuata hapo unafikiri??
 
Wengi hawajui lakini wewe umejua mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…