Fafanua mkuu, maana tangu enzi za manabii ukisoma Yeremia na Ezekiel kulikuwa na makuhani wachawi au waabudu shetani ambao kwa siri wanalipa hekalu kisogo na kuabudu jua, hili jambo alionyeshwa nabii akapigwa na mshangao muda wa siku saba, ndo ujue shetani alivyo na hila....Kkkt viongozi wengi Ni wachawi
Na wengi hawataki hivyo anataka ifuatwe litrujia kama sikoseiTuseme ndio mwanzo wa yeye kuanzisha kanisa lake?
nafikiri kimaro alianza na kufanya kazi sehemu tofauti mfano usharika wa kariakoo
Kwahiyo ni jambo la kawaida kwetu ila kwa alipofikia sahizi ni kusema lolote linaweza tokea na mpasuko wa viongozi ukizingatia yeye ndio mwanzilishi wa injili ya uamsho ,yeye ndio kapunguza kasi ya watu kwenda kwenye makanisa ya manabii
KKKT mfumo wake wa kuhubiri ulianza kunadilika baada ya vuguvugu la aina ya mahubiri ya Eliona Kimaro
Mbona nimeeleza kwenye Uzi hapo mkuu!Yote hayo uliyoandika umeyajuaje mkuu ilhali umesema wewe siyo muumini? Kwa uandishi wako unaonekana nawe ni mdau.
Vyovyote iwavyo KKKT kuna shida kubwa, wachungaji wengi na viongozi shida kubwa ni maslahi.
SI Kimaro tu, hata kwa jambo lolote linalotrend linashika hatamu kwa wakati wake.. eg Mandonga na Kenya hapo juzi, au enzi za Piere Liquid etcKwahio
Leo
Habari
Ni kimaro tu?
Huwezi kudhania kuwa kila aliyesoma hapa basi amesoma post zako zote siyo?! OK, bye.Mbona nimeeleza kwenye Uzi hapo mkuu!
Mbona Siku ile kabla ya kombe la dunia nilipoaandika ufaransa watafungwa na Argentina mbona hukuniuliza kwamba naichezea ARGENTINA?
Ndio maana yake mi Babu yangu alikuwa mchungaji kkkt, najua kwenye nafasi za juu dayosisi Ni watu wa namna ganiKwahiyo unamaanisha maombi yake na mafundisho yake yanawaumiza wachawi hao?
Mungu anayehubiriwa na Mch. Kimaro ni mkubwa kuliko KKKT.Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!
Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.
Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.
LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!
Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.
Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!
Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.
Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k
Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ni lengo la kanisa ikiwemo kanisa hili la KKKT!
- Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
- Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
- Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
- Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
- Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
- Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
- Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
- Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wangefanya hivyo walivyofanya! HAWAJAKURUPUKA
Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi.
Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!
Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.
Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.
Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.
Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.
Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.
Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.
Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.
Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi
Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama? HAMJIULIZI?
JF ukweli na uwazi.
Wapi hakuna uchawi ndugu
Haya makanisa makubwa yana misingi imara sana! Usifikili ni rahisi kutoka ukabakia na makali yaleyale!
Sakata lake halitakuwa tofauti na Feisal!
Mimi ni Mlutheri, kune mengi hatuyajuiNaomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!
Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.
Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.
LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!
Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.
Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!
Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.
Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k
Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ni lengo la kanisa ikiwemo kanisa hili la KKKT!
- Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
- Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
- Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
- Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
- Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
- Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
- Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
- Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wangefanya hivyo walivyofanya! HAWAJAKURUPUKA
Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi.
Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!
Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.
Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.
Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.
Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.
Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.
Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.
Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.
Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi
Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama? HAMJIULIZI?
JF ukweli na uwazi.
Hadi leo wanahamishwa, kuna usharika fulani niliwahi kuabudu wakati fulani, mchungaji alikaa pale kama mwaka na nusu hivi akapewa uhamisho, siku ya kuaga akasema ndio kwanza nilikuwa nimeanza kuwazoea lkn nimepata uhamisho kwenda usharika mwingine na ndio wito nilioitiwa, mbaki na amani ya Bwana, tukasema Amen! Baada ya miezi miwili akaja tukamuaga na bonge la sherehe na zawadi kama zote.....Sioni kama kuna ajabu kwa mchungaji kuhamishwa, mimi nimekulia KKKT, Nimesoma shule za KKKT na wachungaji walikuwa wanahamishwa kama kawaida tu.
Unatuchanganya sasa, kwenye post yako umesema tusubiri, tumekubali ngoja tusubiri. Mara unasema tena tusifadhaike[emoji849][emoji849]Endeleeni kusubiri lakini msifadhaike
Ati wewe ni muumini wa Eliona Kimaro? [emoji848][emoji848]Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.
Ila kwenye hili...
Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...
Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)
But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.