KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

Taasisi maanayake ni utaratibu!

Wewe kwanini uwe kinyume na utaratibu?

Mnataka tusali mfumo wa kukremisha ili muendelee kututawala kiroho? Soma vizuri na uelewe huo uzi.
 

Kalenda ya kanisa ipo katika utaratibu rasmi, waumini na wachungaji wote tunelekezwa kuifuata kwa sababu tumekubaliana nayo. Kama mtu anahsi amepata uelewa wa dini na ahitaji kufuata tena utaratibu aliokubali wakati anapata kipaimara au uchungaji, nadhani hana haja ya kufanya malumbano ispokuwa kwenda kule moyo wake unapomtuma.
 
Ulivyobatizwa komunio na kujiunga KKKT Hukufundishwa kushika amri za kanisa?
Kama unaona hazifai si uhame tu?
 
Ulivyobatizwa komunio na kujiunga KKKT Hukufundishwa kushika amri za kanisa?
Kama unaona hazifai si uhame tu?
Kwahiyo Amri za kanisa ndo zitakufikisha mbinguni na kukukuza kiimani? Think outside the box. Nyie ndo mnaoabudu viongozi wa dini instead of kuabudu Yule aliekupa uhai.
 
Kwahiyo Amri za kanisa ndo zitakufikisha mbinguni na kukukuza kiimani? Think outside the box. Nyie ndo mnaoabudu viongozi wa dini instead of kuabudu Yule aliekupa uhai.
Kutii mamlaka ni moja ya maelekezo ya KiMungu!
Hajazuiwa kuhubili, Viongozi wake wameona ni bora zaidi akienda kutumika na kwingine kunahitaji zaidi nguvu yake!

Hata kama ni mchezaji mzuri huwezi kubishana na kocha kufanyiwa sub!

Mungu yupo popote!
Wito wa kichungaji wa kimaro HAKUITWA ILI ATUMIKE kijitonyama peke yake!

Kuna waumini wengine inje ya hapo akubali kwenda kutumika!
Kiburi hakimsaidii!
 
Tusifike humu! Yule kahamishwa akatumike na kwingine!
Kwa mujibu wa barua kastopishwa na kapewa likizo ya lazima na akirudi aripoti jimboni tofautisha na kuhamishwa Chief.
 
Ni rahisi sana kufanya jambo na kuona uko sahihi lakini ni ngumu sana kukichunguza ulichokifanya na kuona kuwa umekosea. Kuna mmoja inabidi ajirudi, na sisi waumini tulivyo wanafiki hatuishi kuandika nyuzi kwenye mitandao lengo letu apatikane mshindi badala ya kupatikana suluhu [emoji3166][emoji3166][emoji848]
 
Nae Ni binadamu jmn Kuna kuteleza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya Vyeo yanaleta kutukuzwa watu badala ya Mungu. Kiasi kwamba mtu anajiona yeye Yuko juu ya wengine

Bora Mashahidi wa Yehova(JEVOVA's WITNESS) hawana upuuzi huu. Wote mnakuwa wanafunzi wa Biblia.
 
wewe ni malaasusa ndo kawaida yako kuta nimonia limonia
 
Sijui kwanini siku hizi wakristo umehamia kwenye kuamini watu badala ya kanisa.

Yani mijitu mizima imeandamana eti inamtaka mchungaji wao.
Amesema muumini wa Kijitonyama si muumini wa Kimaro. Read between the lines
 
Baadhi ya maaskofu wanavuruga kanisa. Angalia kule Rukwa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Askofu Mwa... alivyovuruga kanisa. Mbeya Askofu Mwa... nae kavuruga. Sasa Dayosisi ya Mashariki na Pwani mwingine tena Askofu Ma... amelianzisha. Nyie akina Mwa... kutoka Mby Mungu anawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…