Klabu 10 bora Afrika kwa sasa Aprili 2022

Klabu 10 bora Afrika kwa sasa Aprili 2022

Najua sana ulipoona kichwa cha habari ukakimbilia ukijua KOLO litakuwemo ulipolikosa ndipo ukaamua kumalizia hasira zako kwangu
Bora alikimbilia maana anajijuwa. Hata mwanafunzi bora darasani anapokwenda kuangalia matokeo matumaini yake ni kujiona katika namba za juu.
Yaani wewe umejikatia tamaa kujishughulisha kuangalia kwa kuwa unajijuwa hali yako UTO.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa hiyo Timu bora AFRIKA haionekani mpaka tutaje 20, tangu lini ishirini ikawa Bora afrika yenyewe ina nchi 50+ sasa ishirini si ni karibu nusu ya vilabu vyote vya maana
Mada zikiletwa na UTO ni shombo tupu.
Bora mwenzio anatajwa tajwa miongoni mwa timu za Afrika. Wewe hujulikani tu hata Afrika Mashariki. Unawaaibisha wale wawili wenye kujitambua.
 
Simba wapo busy kujisifu kuwa ni club ya kwanza Tanzania kutumia VAR😀, naona ndiyo kombe lao msimu huu!!
 
Hiyo weka wewe timu inatumia billion 85 haipo hata top 10!! Huyu muhamedi ...
Hivi kwanza CAF 5 years ranking mmeijulia wapi utopolo? sikutarajia kama ningekutana na mwana utopolo mwenye akili cha kujua hilo ila si nilisikia simba ni ya 352 afrika imekuwaje leo ya 12 tena?
 
Hivi kwanza CAF 5 years ranking mmeijulia wapi utopolo? sikutarajia kama ningekutana na mwana utopolo mwenye akili cha kujua hilo ila si nilisikia simba ni ya 352 afrika imekuwaje leo ya 12 tena?
Mbona huelewiki😀
 
Naomba atoe na point za Simba toka 2018
Hata wewe unaweza kuanzisha mada hiyo. Kutukana kinaonesha ulivyo mweupe kichwan!! Jibu mada husika huwezi pita hivi hapa sio Facebook.
 
Hata wewe unaweza kuanzisha mada hiyo. Kutukana kinaonesha ulivyo mweupe kichwan!! Jibu mada husika huwezi pita hivi hapa sio Facebook.
acha kunitumia meseji za kijinga inbox matter of fact nipotezee aisee utanitia mikosi kabisa
 
unamanisha sieleweki kwa ile meseji uliyonitumia inbox? nimekwambia mimi sigongi wanaume kama una dada nigee fresh
IQ ndogo huwa haziwezi kujadili mambo zaidi ya kuamini katika kutoa lugha chafu 😀. Basi sawa kidume nitumie nauli!!
 
Back
Top Bottom