Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

Dah furaha niliyo nayo haisemeki.

Basi kwa Vita point 6 uhakika, kwa El meleck point 6 uhakika na kwa hawa miungu watu wa utopolo Al ahly point 3 ni uhakika.

Kama hamtaki basi nendeni CAS mkashtaki.

Angalizo: matokeo ya leo yanaweza kuwa hatari sana kwa afya ya mchezo wenu wa kesho Kama hamtopunguza presha mtapoteza huo mchezo utopolo
 
Lile vumbi la Congo limeishia wapi, bado mtaendelea kuwapokea wageni. Ile rani ya afrika inaashilia umalaya wa upotolo maana kila siku atabadilisha mabwana wa kushangilia afrika
Vumbi tunawaletea wasiokuwa nanguvu z kiume pale jangwani wameshindwa kumkaza mgosi wa kaya tanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Goli la mugalu limeingia kidimbwi chubwiii
WAMENUNAAAAAAAAA KUNA MMOJA KAPASUA SIMU YANGU TUMELEWA KAKIMBIA SAWA TU BADO INAUNGA WI FI NIPO KWNYE COMPUTER MAZAFAKA...SIMBA SIMBAA SIMBAA WAMEBAKI KUTUTISHA WAARABU YA VUMBI LA CONGO YAMNEISHA TAREHE 23 TAIFA AL AHLY ANAKUFA 4-0 MAMAME MAMAMAAAA AMINAAAAAAAAA.....
 
Back
Top Bottom