Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

Nachukua nafasi hii kuwapongeza wachezaji na benchi la ufundi la Simba Spotrs Club kwa kazi nzuri waliyoifanya leo.
Wachezaji waliokuwa na makosa madogo madogo wanapaswa kuyafanyia kazi mapungufu yao, mimi niliona hivi.

Lwaga.
Apunguze kucheza rafu.

Chama.
Alikuwa slow kufanya maamuzi, km kuchelewesha pasi. (acheze haraka)

Bwalya.
Alipoteza pasi nyingi, (awe makini.)

Shabalala.
Bado anakaba kwa macho yule beki 3 alikuwa anampita kiwepesi sana.

Kagere
Yuko slow kimataifa, kunagoli angeweza kufunga angekuwa shap, golikipa wa Vita alitoka Langoni.

Mugalu.
Bado mzito, aache mazoezi ya kunyanyua vyuma. Amsikilize kocha wa mazoezi amshauri mazoezi bora kwake.

Wachezaji wote wajifunze.
Kukaba
Kulenga goli wakipiga mpira, kuwa na target (wanapaisha mipira sana).
Kujifunza kupiga faulo na kona na Penati.
Mabeki, watumie pasi ndefu, kupasiana nyuma kuwe kwa sababu maalum tu.
Wajifunze kukaba mipira ya juu, Krosi na Kona.

Kwa leo.
 
12 February 2021
Kinshasa, DR Congo

Furaha ya kocha Didier Gomes Da Rosa baada ya Simba SC kuibuka na ushindi

Matokeo : AS Vita Club 0 - 1 Simba SC, mechi ya makundi Champion League CAF
Source : Simba SC Tanzania
 
Umetutendea haki mno ubarikiwe.
 
Ushindi mzuri ila sikufurahishwa na quality kwa team zote mbili ukichukulia haya ni mashindano makubwa ya vilabu Afrika ulitegemea kuona quality katika uchezaji ila mwanzo mzuri sana kupata point 3 ugenini.
 
Ushindi mzuri ila sikufurahishwa na quality kwa team zote mbili ukichukulia haya ni mashindano makubwa ya vilabu Africa ulitegemea kuona quality katika uchezaji ila mwanzo mzuri sana kupata point 3 ugenini.
Quality gani unayoizungumzia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…