Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

12 February 2021
Stade des Martyrs De La Pentecòte
Kinshasa, DR Congo

Hamasa na mori mkubwa miongoni mwa wachezaji na mashabiki wa AS Vita Club kuikabili Simba SC

Source: afroinfos 243

Tazama uhamashishaji wa super kochee Florent Ibenge kuandaa kisaikolojia timu, Ubao kupanga mashambulizi, ukabaji, umiliki wa uwanja unatumika kupanga mchezo bila kusahau muziki wa kuliwaza bongo

Source : VClub Tèlèvision Officiel
 
Kama nawaona vile wanavyojipanga kuingia na MAPAKA [emoji192][emoji191][emoji194][emoji193] ya kutosha kwenye mechi yao ya marudio!!
 
MSIKIE IBENGE KUELEKEA MCHEZO WA SIMBA NA AS VITA

“Nawakumbuka wachezaji wengi wazuri ndani ya kikosi cha Simba kama Clatous Chama na Jonas Mkude, kwenye mchezo wetu wa mwisho dhidi yao ambao tulipoteza, nakumbuka Chama ndiye alitufunga bao lililotutoa kwenye mashindano.“

"Lakini pia namkumbuka Mkude alicheza vizuri, nadhani wachezaji hao wanahitaji ulinzi zaidi ili wasitupe madhara kuelekea mchezo huu ambao tutakuwa nyumbani.“

"Mchezo huu ni tafsiri halisi ya mpira, lazima ukutane na mpinzani ambaye unahisi kuwa atakupa changamoto, na unatakiwa uwe tayari kuzikabili changamoto hizo.“

"Nadhani wapinzani wetu hawatakuwa tayari kufungwa mabao mengi kama ilivyotokea awali walipokuja Congo,” ameeleza Frolent Ibenge, Kocha Mkuu wa AS Vita.
 
Dooh!! Nimejikuta naukumbuka ule usemi wa mtani wangu Ghazwat "mwana kulitaka mwana kulipewa"

Mnalo hilo watani na tumeamua kuwaamshia dude la uzi mapeeema kabisa. Mshindwe wenyewe. 😅😅😅😅

#Ukinunauwenasababu.
hii match Simba asiposhinda, atajijengea mlima wa kuukwea.
#SimbaNguvuMoja
 
nikajua upo live kumbe ndo kutest mitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…