Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Klabu Bingwa Afrika: Simba SC ya Tanzania yashinda 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa - Dar

Naomba kufahamu na % ya wazawa AS VITA....

Maana Al Ahly lazima 98%...

Nina Hoja ya Msingi.
 
NI. NGUMU KUAMINI
HIiZ N SABABU 3 ZA. SIMBA KUFUNGWA LEO

1)KUJIAMINI KUPITILIZA
2( KIWANGO KIDOGO CHA UWEZO KULINGANISHA NA WAARABU

3)IMANI MBOVU ZA KICHAWI
HII N SABABU KUBWA LEO SIMBA KUFUNGWA
WANAINGIA UWANJAN WAKIAMINISHWA USHINDI KUPITIA NGUVU ZA GIZA BADALA YA KUTAFTA MBINU ZA KUMMLIZA. MWAARABU

4;.......SIJJUI NISEMEEEE...

WALE WA MZIGO
GG
GG N OV2.5
HT OV 0.5
Asalam-aleikum shekhe..
 
Habari Jf,

Leo Simba wamewafunga AL AHLY SC ya Misri ushindi wa bao moja, Nikiwa kama shabiki wa club X nauliza leo wachezaji mmewalisha nini maana sio kwa Simba tunayoijua sisi.

2684786_IMG_20210205_134741.jpg

VISIT TANZANIA 🇹🇿
 
Back
Top Bottom