Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,915
- 5,038
Upigwe ban ili uache kukurupuka na mambo yako itakusaidia maishaniNikishapigwa ban unapata Bei gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upigwe ban ili uache kukurupuka na mambo yako itakusaidia maishaniNikishapigwa ban unapata Bei gani
Uzombi unao wewe sio Simba na Yanga. MODS please mpeni huyu mtu haki yake.Ukishabikia simba na yanga unakua huna utofauti na zombi mungu kanisaidia tangia tarehe 1 mwaka huu nimeacha KUSHABIKIA hizi timu za manyani
ChaiUpigwe ban ili uache kukurupuka na mambo yako itakusaidia maishani
ChaiUzombi unao wewe sio Simba na Yanga. MODS please mpeni huyu mtu haki yake.
.Tutawakumbusha mods muda ukifika.
Kaka usisahau kuwakumbusha modsTutawakumbusha mods muda ukifika.
Utopoloni werevu ni wawili tu manara alisema.Mbumbumbu naona mnajibu Kwa uchungu sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tafuta kazi ya kufanyaUtopoloni werevu ni wawili tu manara alisema.
Tafuta kazi ya kufanyaOgopa Mungu na teknolojia.
Tafuta kazi ya kufanyaKaka usisahau kuwakumbusha mods
Moderator hii kiumbe iliomba ban ya mwaka mzima.Please,do the needful!Tafuta kazi ya kufanya
Hii kiumbe ifungiwe asap!Huyu jamaa ameamua fasta kubadili ID na kisha kuedit content ionekane aliomba ban ya siku moja wakati alisema aondolewe JF kama ambavyo title inasema, maana user wa kawaida huwezi kuedit title.
ID yake ya mwanzo ilikuwa ni Football na ya sasa ni Gunner Shooter. Lengo ni kuwapoteza mods washindwe kumfungia na kumuondoa kabisa JF
View attachment 3202220
Active, BlackBold, Boqin, Bridger, Payge, celix, Cookie, Diversity, Fang, Fixer, Innovator, Maxence Melo, Mhariri, Moderator, NightCrawler na Paw
Mbona wewe unatetemeka kulipwa 7500 kwa Mo?Mbona unalia🤣🤣🤣
Tafuta kazi ya kufanyaMbona wewe unatetemeka kulipwa 7500 kwa Mo?
You have to go in JF's jaili!@Moderator hii kiumbe iende lupango.Tafuta kazi ya kufanya