Klabu ya Simba imefungiwa na CAF kucheza bila mashabiki na faini zaidi ya TSh. Milioni 100

Kwa post uliyotoa,, ni ushahidi waliofanya fujo ni mashabiki wa utopolo waliovaa jezi za Simba.
 
Tuliza koo na Mo cola
 
Tena huyo Mwarabu aliyevaa mzula mwekundu amekamatwa akiwa na kidhibiti kabisa! Halafu sisi mashabiki wa Simba eti ndiyo tunalazimishwa kulipa faini! Huu ni uonevu wa wazi kabisa kutoka CAF! 😩
 
Tena huyo Mwarabu aliyevaa mzula mwekundu amekamatwa akiwa na kidhibiti kabisa! Halafu sisi mashabiki wa Simba eti ndiyo tunalazimishwa kulipa faini! Huu ni uonevu wa wazi kabisa kutoka CAF! 😩
Mnaonekana kama wehu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…