Kocha wa Makipa Simba SC na wengine 8 wakamatwa na Dawa za Kulevya
Yaani mtu anaangalia upande mmoja wa kupata Utajiri tu kupitia Madawa ya Kulevya ila haangalii hasara anayoitengeneza kwa Taifa kwa Kuzalisha Wateja.

Hii Vita inahitaji watu wenye maamuzi magumu kama JPM kuweza kuufyeka Mtandao.

Mungu asaidie kuponya Vizazi vyetu
Ameeen
 
Nchi bila nyala za Serikali,wizi,kukwepa Kodi,unga na magendo hutoboi maana hata makodi Ni mengi mnoo.

Sio Tanzania tu dunia nzima bila dark business na smuggling kutoboa utakusikia tu, kwenye madini ndio umesikia kilo 61 zimetoroshwa na hazina vibali, kwenye mifugo kila leo inatoroshwa japo utajiri halali upo lakini utachelewa sana kufanikiwa
 
Ingia mtaani, jichanganye kwenye magenge ya nyanya, vitunguu, viazi, nk Biashara zinapigwa humo siku hizi tena kimya kimya unahisi mtu kafungiwa nyanya, biringanyi au viazi kumbe kafungiwa mzigo toka kwa Pusha mzoefu, nimetoboa Siri
Naenda fungua genge kwenye soko la changanyikeni🏃🏃
 
Yaani mtu anaangalia upande mmoja wa kupata Utajiri tu kupitia Madawa ya Kulevya ila haangalii hasara anayoitengeneza kwa Taifa kwa Kuzalisha Wateja.

Hii Vita inahitaji watu wenye maamuzi magumu kama JPM kuweza kuufyeka Mtandao.

Mungu asaidie kuponya Vizazi vyetu
Inachosikitisha na wengine wanafahamika ila hawagusiki, ukimgusa andaa kaburi lako kabisa au umuwahishe yeye kama una nguvu
 
Sio Tanzania tu dunia nzima bila dark business na smuggling kutoboa utakusikia tu, kwenye madini ndio umesikia kilo 61 zimetoroshwa na hazina vibali, kwenye mifugo kila leo inatoroshwa japo utajiri halali upo lakini utachelewa sana kufanikiwa
Hakuna utajiri halali mzee ,utauoataje sasa? Lazima uzulumu ila ndio ujue Kuna kifo na jela.
 
Kwa hiyo huyo Kocha wa Magolikipa ndio kawa Mkubwa kuliko tukio lenyewe.

Hivi haliingekuwaje kama ingemuhusu Mmiliki au Wachezaji au Kocha mkuu n.k?.
 
Oya sikia sikia nimekatisha mtaani hapa kuna mdau ni Pusha mzOefu namaanisha ni Pusha mzOefu miaka na miaka anasambaza, anauza na ana vijana wanasambaza na Polisi wanamjua na wanamfahamu kabisa kabisa na hua wanakuja kumtembelea mara kwa mara nasikia hua wanakuja kuchukua mgao wao, how does this happen kwa hawa au dili limebuma wamegoma kutoa mgao kwa Polisi au nini kimewakuta?
Labda wanapunguza competition.
 
NAFIKIRI SASA NDIO WAKATI MUAFAKA WA KWENDA KUMPA POLE YULE DADA SANCHOKA, BAADA YA BWANA WAKE HUYO ALIEMBADILISHA MPAKA AKASLIMU NA KUFUTA PICHA ZAKE ZA AJABU AJABU KULE INSTAGRAM KUKAMATWA.
KUUA HII BIASHARA BADO KUNA KAZI SANA, MAANA HAKUNA MWANADAMU ASIEPENDA KULA MAISHA MAZURI YA KIFAHARI NA MTOTO MZURI KAMA SANCHOKA.
Mkuu ni nani alikua anasembua lile TANDAMU. Huyo mpuuzi katukosesha raha kwa muda mrefu sana na nilishangaa ghafla tu sioni picha zake insta. Kumbe jamaa yake alikua mbeba sembe!

Sema jamaa ka enjoy sana lile dubwasha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya madawa kwenye nchi zote duniani viongozi wanahusika. Wee angalia program moja national geographic uwasikie wauza unga wanavyosema wenyewe. Wanakwambia kabisa sie tunaongea ili public ijue hao wanauwatumainia kuwasaidia kupambana na hili janga la madawa ndio kwanza mstari wa mbele katika kufanikisha hii biashara
Kama ni hivyo basi itakuwa vigumu kuishinda hii Vita.

Tumekwisha!🙆
 
Kama ni hivyo basi itakuwa vigumu kuishinda hii Vita.

Tumekwisha!🙆
Huwezi shinda hii vita mzeya...wee yule jamaa wa mexico de guzman alikuwa anasafirisha kilo 300 kwenye tunnel under the america mexican border na kilo mtaani is worth over 80 million unadhani huyo utamshika kirahisi. Sii vipolisi vyote navihonga tuu
 
Huwezi shinda hii vita mzeya...wee yule jamaa wa mexico de guzman alikuwa anasafirisha kilo 300 kwenye tunnel under the america mexican border na kilo mtaani is worth over 80 million unadhani huyo utamshika kirahisi. Sii vipolisi vyote navihonga tuu
Lakini ndiyo tunamaliza nguvu kazi ya Taifa hivyo.

Huku Ushoga kule Madawa ya Kulevya mwisho wa Siku tunakuwa na Taifa lenye Vijana ombaomba tu
 
Back
Top Bottom