Alikuwa na cheo gani au alikuwa mstaafu1?Lakini kwa Simba viongozi wao kufanya hivi siyo ajabu, Marko Masanja mpaka Leo yupo jela China huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na cheo gani au alikuwa mstaafu1?Lakini kwa Simba viongozi wao kufanya hivi siyo ajabu, Marko Masanja mpaka Leo yupo jela China huko
Hizi timu ni vichaka tunapeana presha bure tu, watu wana biashara zao. Pumbav zao😃😁😂
DaahKamishna Jenerali wa DCEA Bw. Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa 9 wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye Kilo 34.89.
View attachment 2417341
Mwalami Sultan