Kocha wa Makipa Simba SC na wengine 8 wakamatwa na Dawa za Kulevya
Kamishna Jenerali wa DCEA Bw. Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa 9 wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami Sultan kuhusika kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye Kilo 34.89.

View attachment 2417341
Mwalami Sultan​
Daah
 
Back
Top Bottom