masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Wana akili aisee...ile modality yao ya biashara..ila kama hizi biashara ni front desk tu..GOD KNOWSHapo ni bilioni 240-300 ambazo wanazo, au wamekopeshwa na banks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana akili aisee...ile modality yao ya biashara..ila kama hizi biashara ni front desk tu..GOD KNOWSHapo ni bilioni 240-300 ambazo wanazo, au wamekopeshwa na banks
Kwa hiyo wanasimba wote ni wanaNGADA?
"Umate umate"😆😆😆! Watoto wa mjini mna maneno nyie! Kila siku kiswahili kipya kama nguo.Basi utajiri ni ujinga..
Hivi ushapata umate umate wa kubadilishia hata ukoo wako maisha..unaendelea nini na hizo mbanga?
Hata kama ni biashara ya kijinga jinga haifi, unakuta inazidi tu kuwepo!Wana akili aisee...ile modality yao ya biashara..ila kama hizi biashara ni front desk tu..GOD KNOWS
Wala..cambiasso dealer mkubwaUkiona Papa kadakwa jua kuna wengi wamejua dili na ni shinikizo kutoka juu, ambaye wa juu naye kashinikizwa na cartel pinzani
Samia kaamua kuua mitandaoWala..cambiasso dealer mkubwa
Ashaenda jela mara 2 ujue,na alitoka yeye ametusua wenzake wamenyoaaa
Cambiasso Ana hela na Ana watu
Sema kamata ya sahv inaonekana ni order maalum ndomana unasikia wazee walikataaa hela,walipoenda kuwakqmata
Na huyu jamaa alivutwa alifanya biashara kubwa na wazee wa kazi
Akapewa hela ndefu,pesa ya moto
Kumbe unavutwa,biashara ya 2 akajaa
Mwenyewe
Ova
SirikaliWana akili aisee...ile modality yao ya biashara..ila kama hizi biashara ni front desk tu..GOD KNOWS
Salah ndo mwenye SilentNaongelea salaah na kaka yake.na michakato inayowazunguka
Ndio muda huo huo.Siyo kwamba walichanua kipindi cha msoga gang.....
Ila ukiona hivyo jua kuna wengine wanaingia kupiga kazi...Wazee hapo wamefanya kazi
[emoji1]
Ova
Wazee wengi waarabu utajiri wao ulianzia kwenye kuuza pembe ndovu,na nyara zingine za serikaliNdio muda huo huo.
Ni sawa na Lake Oil story yake haijakaa sawa, pamoja na kwamba Baba yake ni tajiri ila story yake kuanzia 2006 imejaa kona kona nyingi
Yah ni mfumo ambao upo na hauwezi isha,akitoka huyu anaingia huyuIla ukiona hivyo jua kuna wengine wanaingia kupiga kazi...
Ili uuze madawa lazima serikali ihusike na ikubali
Wakabe zaidiYah ni mfumo ambao upo na hauwezi isha,akitoka huyu anaingia huyu
Ila kwa sasa bongo ungainly kidogo umeadimika.....
Ova
Mkamatwa na ngoz ndiyo mwiz wa ng'ombeKwa hiyo wanasimba wote ni wanaNGADA?
Mzee kinnWazee wengi waarabu utajiri wao ulianzia kwenye kuuza pembe ndovu,na nyara zingine za serikali
Ova
Sasa hii 'Mwalami' ndiyo imetokea wapi, hata kunakili tu inashindikana?Kocha huyo, Mwalami Sultan