kwanza mzeya wewe niambie biashara gani unaweza fanya halali ambayo in faida 500%Hivi inakuwaje kuwa ngumu kuacha?
pili ukitaka kwenda clean wana ulikuwa unapiga nao madeal wanaogopa kuwa utawachoma hence life lako lipo hatarini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza mzeya wewe niambie biashara gani unaweza fanya halali ambayo in faida 500%Hivi inakuwaje kuwa ngumu kuacha?
Lini hiiKabisa kama yule jamaa alikuwa anaitwa suma,aliuwawa kwa kupigwa risasi mitaa ya ilala akiwa ndani ya range,kwenye foleni walipita wazee wakiwa kwenye pikipiki wakampiga risasi za kutosha,pembeni alikuwa dem wake...ila hiyo dhuluma ilikuwa inahusika
Ila nlishangaa habari hiyo haikupewa promoo sana na media zetu
Ova
Mzee usijisahaulishe,cheki hii[emoji116][emoji116]Lakini kwa Simba viongozi wao kufanya hivi siyo ajabu, Marko Masanja mpaka Leo yupo jela China huko
Sema: adhabu za wauza ngada Tz ni ndogo.Get Rich or Die Trying
Stupid motivation.Get Rich or Die Trying
Utajiri unataka consistent piaCamboaso alishatajirika...na kashakamatwa marra kama mbili...why aliendelea na hii biashara
Yule mtu na mkewe, sijui a anaitwa Nani vile, wapo lupango wananyea ndooHii biashara inafanywa kwa siri siri na wajanja wanaopenda kudanganya kwa kufungua container za biashara wakijiita wafanyabiashara. Kumbe wauza unga. Kuna dada maarufu mpaka leo amekwama na mmewe. Alikuwa ndio mwalimu wetu wa kuweka elfu 10 kwa siku kwenye masanduku ya bati, ili tule Xmass
Wanakamatwa sana huko China. Pamoja na adhabu kali bado hawaachi.Sema: adhabu za wauza ngada Tz ni ndogo.
Ingelikuwa kwa Mao Tsetung, ungejifikiria mara mbili mbili kuongea hayo maneno!
"Die trying" katika mazingira yapi?
[emoji16][emoji848]
Hii "match fixing" ndiyo kupika matokeo au ni nini hasa?moja ya biashara chafu zinazofanyika kwenye mpira wa miguu ni HII BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA(DRUGS), YA PILI NI HUMAN TRAFFICKING, YA TATU NI GAMBLING, YA NNE NI MONEY LAUNDERING, YA TANO NI MATCH FIXING.. NOTE: Hii biashara ya tano vilabu vyote vya kibongo inaitumia japo inategemea na mfuko wa timu husika ilikuwa Uto msimu wote uliopita wamekuja kuacha kuanzia mechi ya Kagera..
Huwa wanasema walipochunguza wakakuta ni Unga wa MuhogoUtashangaa mamlaka zimewaachia huru bila masharti yoyote
Yeah ndio hiyoHii "match fixing" ndiyo kupika matokeo au ni nini hasa?
Mkuu ndiyo maana mie ushabiki kindaki ndaki nishajiondoa kwa ajili ya mambo hayo ya hovyo.Yeah ndio hiyo
Basi utajiri ni ujinga..Utajiri unataka consistent pia
To keep the bills..Basi utajiri ni ujinga..
Hivi ushapata umate umate wa kubadilishia hata ukoo wako maisha..unaendelea nini na hizo mbanga?
Kama queen of the south1. Pesa huwa na sifa ya kuwa 'Chache' kadiri unavyoipata.
2. Kwa kuwa tayari umeingia katika biashara umeshakutana na watu wengi na umekwisha fahamu siri nyingi za watu wanaojihusiaha na biashara hii haramu ukiamua kuacha unageuka kuwa Tishio (Threat) kwa wale waliobakia, wanaweza kukuhisi labda ulikua informer hivyo wanaweza kuhakikisha wanatoa uhai wako ili siri zao zibaki salama, kwa hiyo ili uendelee kubaki salama ni lazima uendelee kuwa sehemu yao, vinginevyo utokomee kusikojulikana
Those guys makes a lot of money..To keep the bills..
Hivi unadhani kuna mwenye hela halali anaweza haribu hela kwa kugawa gawa?
Mfano wale jamaa wa gsm wanavyogawa gawa zile hela unadhani ni halali?