HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kweli, ila hela uliyoihangaikia inauma kutoa hovyo.Those guys makes a lot of money..
Sijui sehemu nyingine ila kwenye upande wa shipping nina tolea mizigo kwao..
Almost every day kuna kontena za kutosha zinashusha mzigo....
Na zile lori za logistic...
Nafikiri wana mishe nyingi za kupiga ela ndefu.
So 10M 50M ni tone la damu baharin
(Ila sijawah sikia baresa anagawa ela)
Najua ana magari 1000 ya transit ambapo kwa mwezi hakosi faida ya 10bil.
Galco inafanya vizuri maana inahandle cargo kwenye ICD zao