Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Uzi uunganishwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hkn kitu Kam hcho yaani iko hvyo tu kuwa Kama ushaidi upo bas safari hi watafungwa tu na kuhukumiwaa ushaidi upoKukamatwa ruksaa, kufungwa bongo kwa kosa la sembe sahau, utasikia kumbe ilikuwa ni unga wa lishe!!
Kwa kweli ameshtuka na kwa hili alikuwa akwepeki kujumuishwa na huwenda Ni yey kawapa taarifa Hawa wanaojita dceaKwa lile Bata la Wachezaji wa Cambiaso Soccer Academy, Hadhi yao na Mengineyo sishangai leo kusikia kuwa kumbe Mmiliki ni Drug Baron na anashirikiana na Watu wengine.
Shikamoo sana Kocha wa sasa wa Kagera Sugar FC Mecky Mexime ( ambaye ulikuwa Kocha wa Cambiaso Soccer Academy) kwa kuwa Mjanja, Kushtuka, kutoa Ushirikiano na kusepa Mapema kabka ya Msala Kukukuta.
4sureAliyeshukiwa na ngozi ndiye mwizi 🥱
Mkude kijna wa kinondoni Sina mashaka nae na edon na kipa manula na. Mohamed hao pia nawatilia mashaka Sana baada ya hi ripot kutoka nimewaza mbli San jinsi alivyo weze kufanikisha biashra zake kwa kuwatumia vijanaEddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kweli jamaa Ana nusa haswa nakumbuka kipindi fln aliwai nusa utakatishaji pesa kweny kampuni ya stawisha ya kuingiza pesa kuwapa chadema kufanya kampeni huyu kusaya alikuwa ndio katibu mkuu wizara ya kilimo kwa wakt uleMmiliki wa Cambiaso fc bwana Zuber alijaribu kuhonga Hela Kwa Kusaya Ikashindikana.
.
Ni vile Kusaya ni Tiss na mkorofi Sana so Jamaa hakufanikiwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Babu mripotie achunguzweWatu wengi wa masaki na osterbay nje watu ndani nyoka! Kyna jirani yangu mmoja hapa upanga anabadilisha magari kila siku na si hizo kama ist zenu ni hizi ranger rover jana amenunua land discover namba E halafu ana biashara ya kipuuzi tu kariakoo
Ogopa San vijan watemeke ogopa Sana nikisikia mtu anakah tmk namfikiria vibay sanSimba's goal keeping coach Muharami Said Mohammed Sultan among those being held
Tanzania’s Drug Control Enforcement Authority (DCEA) has arrested 11 suspects including Simba’s goalkeeping coach Muharami Sultan (40) for allegedly being in possession of 34.89kg of heroin and 50 biscuits made from marijuana.
Speaking at a press conference,the Commissioner General of DCEA ,Gerald Kusaya named the other suspects as owner of Cambiasso Sports Academy in Tuangoma, Kambi Zuberi seif, Said Matwiko a resident of Magole, Maulid Mzungu aka Mbonde(54) a resident of Kisemvule and John John aka Chipanda(40) a scout at Cambiasso Sports Academy.
The others are Rajabu Dahabu (32) a resident of Tabata, Seleman Matola Said (24) a resident of Temeke Wailes, Hussein Pazi (24) a businessman and Ramadhani Chalamila (27) a resident of Kongowe.
Vyote vipo sambamba
Mm ndio niliye pandisha ule Uzi sas leo nimepata majibu why and sooNapitia page za wachambuzi. Naona wote wamepiga kimya. Shaffii alikuwa ameandika naona kafuta. Wale wa maswali kwanini the so called wachambuzi wanaacha kazi Azam na kwenda kwenye vilabu, mmepata majibu
na hawa macho ndogo unaowaona wamejaa kariakoo na tanzania kwa ujumla ya baada ya yule mtoto wa namba moko wakati ule kushikwa kule kwa wa wamandarin.Lakini kwa Simba viongozi wao kufanya hivi siyo ajabu, Marko Masanja mpaka Leo yupo jela China huko
Pumbafu zake anabinua makalio kumbe kajazia ungaSanchoka atakua katika wakati mgumu bwana ake ni muuza madawa ya kulevya
Majambazi ndio.tunaita waheshimiwa.Huu ndio ukweli. Matajiri wengi wa Bongo wana historia chafu na hatari sana. Unakuta utajiri wake haueleweki. Vyanzo vikuu vya mtaji havijulikani wala kueleweka 😂, kumbe vyanzo halisi ni pesa chafu/haramu
1. Pesa ya ufisadi
2. Biashara haramu/magendo (madawa, ujangili)
3. Kuwepa kodi
4. Utapeli
5. Utajiri wa uchawi
6. Utajiri wa connection na wakubwa
7. Tenda za wiziwizi
8. Kuchezea mikopo ya mabenki
9. Umafia
10. Dhuruma
11. Kuleta vitu feki
12. Kujiuza/kudanga
13..............
Mtaendelea kujaza wenyewe.
Halafu mtu akitajirika kwa mbinu hizo anasema vijana fanyeni kazi, changamkia fursa 😂😂😂, nilianza na mtaji wa aftatu leo nina mtaji wa bilioni tatu 😂😂
Nitakupa mmbeyaBabu mripotie achunguzwe
Wazee wa " get rich or die trying " hivi kama hawa walikua wamesha toboa kabisa kwanini wasinge vunga, new generation wa take gape!!? Wana ng'ang'ana weee mpaka wanapoteza vyoteVyote vipo sambamba
Yeah na mimba juuNdie kamueka ndani Sanchoka na kumtuliza ..
Ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huweziWazee wa " get rich or die trying " hivi kama hawa walikua wamesha toboa kabisa kwanini wasinge vunga, new generation wa take gape!!? Wana ng'ang'ana weee mpaka wanapoteza vyote