Lakini ndiyo tunamaliza nguvu kazi ya Taifa hivyo.Huwezi shinda hii vita mzeya...wee yule jamaa wa mexico de guzman alikuwa anasafirisha kilo 300 kwenye tunnel under the america mexican border na kilo mtaani is worth over 80 million unadhani huyo utamshika kirahisi. Sii vipolisi vyote navihonga tuu
Personaly i dnt bliv that...maana kwanza ni fraction ndogo sana ya society ambao ni mashonga na ni mateja. Plus look on the bright side hawa ndio wanajenga mijengo wanaingia kwenye construction industry so there are always two sides to a story.Lakini ndiyo tunamaliza nguvu kazi ya Taifa hivyo.
Huku Ushoga kule Madawa ya Kulevya mwisho wa Siku tunakuwa na Taifa lenye Vijana ombaomba tu
Hawakaguliwi?dunia ya sasa?!!!hayo yalikuwa labda zamani,siku hizi mipira yote inasafirishwa ndani ya mabegi maalumu ya kuhifadhia,na linapitia hatua zote za ukaguzi wa mizigo uliopo uwanja wa ndege.Mwana michezo naye anapita kwenye scanner wanayopita abiria wote,hapitii kwenye VIP.Hawakaguliwi wanamichezo mkuu
Leo tupo hapa na huyu kocha wa simba muuza unga.Kuna yule mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi some Kulangwa if am not mistaken jina lake nae alikamatwa Huko Italy mpaka Leo hajatoka.
Mapoda Fc wanabebeshwa mzigo na Gabacholi.kwa hiyo tuwape jina au
Kwa sababu huwezi shinda ndo serekali iachie yauzwe kama njugu mbona utetezi wa kijinga sana huu, ulishawahi kuwa na ndugu anayetumia madawa ya kulevya omba Mungu isijekutokea kama haijakitokeaHuwezi shinda hii vita mzeya...wee yule jamaa wa mexico de guzman alikuwa anasafirisha kilo 300 kwenye tunnel under the america mexican border na kilo mtaani is worth over 80 million unadhani huyo utamshika kirahisi. Sii vipolisi vyote navihonga tuu
Sanchoka atakua katika wakati mgumu bwana ake ni muuza madawa ya kulevya
Wacha yauzwe tuu kwanza yakiwa available biashara haitakuwa na maana tena na haitakuwa na profits kubwa kihivyo. Simple demand and supply principleKwa sababu huwezi shinda ndo serekali iachie yauzwe kama njugu mbona utetezi wa kijinga sana huu, ulishawahi kuwa na ndugu anayetumia madawa ya kulevya omba Mungu isijekutokea kama haijakitokea
Serikali inakuwa wapi muda huo?Tanzania wengi ni wauza sembe. Wamejifisha kwenye biashara mbalimbali zilizo halali, huku nyuma wanapush Sembe.
Hawapendi kufanya hio biashara na makafir hawa ma Alhaji wetu[emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu zangu “Waisalamu” ndio vinara wa biashara hii ya madawa ya kulevya kwa jiji hili la dar es salaam na kwingineko.
Kwa tako lile mbona kesho tuu anapata billionea mwengine....hainaga makombo ile mbususuSanchoka atakua katika wakati mgumu bwana ake ni muuza madawa ya kulevya
Ni kweli Huenda Hela zao wakiziingiza kwenye biashara ya Ujenzi (Construction Industry) zinaleta Ajira na maisha kwa Vijana lakini angalia athari hasi zao.Personaly i dnt bliv that...maana kwanza ni fraction ndogo sana ya society ambao ni mashonga na ni mateja. Plus look on the bright side hawa ndio wanajenga mijengo wanaingia kwenye construction industry so there are always two sides to a story.
Furahisha gengeMkuu mshahara 6 Mil na bado maisha yako ya tabu? Wazee nyie mnaishi Mykonos, Malaysia au hii hii TZ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakufata maelekezo ya Mo ndiyomaana kadakwa kirahisi.
Hapo sasaJamaa alikuwa anapambania ugali wake jamani. Hizi ni ajali tuu kazini kama ile ya kagera