ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Wewe ndo Gamondi?Hatocheza😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo Gamondi?Hatocheza😕
Siyo mikakati, Pretoria ndio kwao Mamelodi.Labda Mkakati haha
Unakoelekea kubaya.MUWE MNAFICHA MAUPUMBAVU YENU.
NINGEKUA MODS WAPUMBAFU PUMBAVU KAMA NYIE WOTE BAN ZINGEWAHUSU.
Oh kumbe, bhas hakuna lawama hapo🤣🤣Siyo mikakati, Pretoria ndio kwao Mamelodi.
Wewe huna akili kichwani, wewe unasoma Mamelodi kwenye Media, wenzao tunazijuwa physical na tunawajuwa Wasouth Africa vizuri.View attachment 2954588
JF ina watu waajabu sana yani.
Nenda kwenye Official Account ya Mamelody Instagram kuna Jibu lako
Wewe milembe inakuhusu.
Kocha wa Mamelodi Sundowns ametowa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukuwa ubingwa wa PSL last season uwanja ukiwa empty.
Katika Kile kinachoonekana dhahiri Leo tena Mamelodi wanacheza kama hawapo nyumbani maana mashabiki wengi wa Johannesburg hawataweza kwenda kuisupport Mamelodi Kwa sababu South Africa Saa 4 usiku hakuna train wala tax ( daladala South Africa zinaitwa tax).
Hivyo mashabiki wengi wa Johannesburg wanasikitika hawataweza kwenda Pretoria kuipa sapoti timu.
Watu wa Pretoria in dhahiri si watu wa Mpira hawaendi uwanjani mpaka kufikia kubatizwa Jina la utani 57 FC, Yani wana mashabiki 57 tu.
Mamelodi wameshauliwa next time game kubwa wazipeleke Cape town wakapate full support.
your are a psychopath caseMUWE MNAFICHA MAUPUMBAVU YENU.
NINGEKUA MODS WAPUMBAFU PUMBAVU KAMA NYIE WOTE BAN ZINGEWAHUSU.
Wewe milembe inaruhusu.
Kuanzia Saa 4 usiku kama haujapanda public transport utumie meter tax au gari yako binafsi.Sasa wameendelea nini Sauth Africa mbona huwa mnawasifu sifu sana kwamba wameendelea
Unakosaje tax SAA 4 kwenye mji mkubwa kama huo
Basi hata Mafinga Palo juu huwezi kosa daldala za Kinyanambo C saa 4
Acha ulemavu wa kufikiria.Mungu ibariki Young Africans
Mungu ibariki Tanzania
Huna akili wewe, hizo account za club zinaendeshwa na maadmin wanafanya Propagation kama Ahmed Ally na Manara tu Jinga wewe.Tuangalie source za hao Akina Mzanzi , matahira wenzako au tuangali Officill Account ya Mamelody.
Jf Imekuwa na Mipumbavu mingi sana.
Sheenzi type
Hili jamaa huwa ni taira,mwanzoni nilijifanya chambuzi mara ohh kushambikia Sana yanga na Simba ni ujinga watu wakaliparua kwasasa limechangua upande wa makolo ambako ndo timu yaliyenyewe tangu mwanzoWewe milembe inaruhusu.