Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Kwann mzee🤔Acha ulemavu wa kufikiria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann mzee🤔Acha ulemavu wa kufikiria.
Kuna wakati lilijifanya ni kiongozi wa Simba.Hili jamaa huwa ni taira,mwanzoni nilijifanya chambuzi mara ohh kushambikia Sana yanga na Simba ni ujinga watu wakaliparua kwasasa limechangua upande wa makolo ambako ndo timu yaliyenyewe tangu mwanzo
I won't let you stranded in your nightmare. Will do my best even if you don't want my handNo! Thank you.....
Kuna wakati lilijifanya ni kiongozi wa Simba.
Okay okayI won't let you stranded in your nightmare. Will do my best even if you don't want my hand
Kocha wa Mamelodi Sundowns ametoa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikitishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukua ubingwa wa PSL last season uwanja ukiwa empty.
Katika Kile kinachoonekana dhahiri Leo tena Mamelodi wanacheza kama hawapo nyumbani maana mashabiki wengi wa Johannesburg hawataweza kwenda kuisupport Mamelodi Kwa sababu South Africa Saa 4 usiku hakuna train wala tax (daladala South Africa zinaitwa tax).
Hivyo mashabiki wengi wa Johannesburg wanasikitika hawataweza kwenda Pretoria kuipa sapoti timu.
Watu wa Pretoria in dhahiri si watu wa Mpira hawaendi uwanjani mpaka kufikia kubatizwa Jina la utani 57 FC, Yani wana mashabiki 57 tu.
Mamelodi wameshauriwa next time game kubwa wazipeleke Cape town wakapate full support.
Huyu kocha anapnekana anapenda Sana hamasa ya mashabikiKocha wa Mamelodi Sundowns ametoa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikitishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukua ubingwa wa PSL last season uwanja ukiwa empty.
Katika Kile kinachoonekana dhahiri Leo tena Mamelodi wanacheza kama hawapo nyumbani maana mashabiki wengi wa Johannesburg hawataweza kwenda kuisupport Mamelodi Kwa sababu South Africa Saa 4 usiku hakuna train wala tax (daladala South Africa zinaitwa tax).
Hivyo mashabiki wengi wa Johannesburg wanasikitika hawataweza kwenda Pretoria kuipa sapoti timu.
Watu wa Pretoria in dhahiri si watu wa Mpira hawaendi uwanjani mpaka kufikia kubatizwa Jina la utani 57 FC, Yani wana mashabiki 57 tu.
Mamelodi wameshauriwa next time game kubwa wazipeleke Cape town wakapate full support.
Tatizo ni baada mechi usafiri hakunaKama hao wa Joberg wana nia ya kusapoti, wangeenda siku moja kabla..!!
Wanarudi kesho yake.Tatizo ni baada mechi usafiri hakuna
Jubeck hadi Pretoria ni mwendo wa SAA 1Kama hao wa Joberg wana nia ya kusapoti, wangeenda siku moja kabla..!!
Kheeee..!!! Sasa lisaa si wakodi hiace..!!! Hawana nia..!! huwezi wafananisha na wapenzi wa Yanga hao..!!Jubeck hadi Pretoria ni mwendo wa SAA 1
Mechi haichezwi saa 4 usiku kwa saa za south.
Mechi inachezwa saa mbili usiku kwa saa za south africa.
Mamelodi sio timu yenye mashabiki wengi.
Mamelodi ni kama Azam kwa Tanzania.
Timu za africa kusini zenye mashabiki wa kujaza uwanja ni Orlando pirates na Kaizer chiefs
Mpira bila mashabiki, ni sawa na chai bila sukari.Huyu kocha anapnekana anapenda Sana hamasa ya mashabiki
Nilimwona akifurahi Sana kuona full house pale kwa Mkapa mpaka akawa anawapigia mashabiki MAKOFI kuwapongeza kwa hamasa na kujitokeza kwa Wingi
Yawezekana hilo vibe analikosa nyumbani