Kocha wa Mamelodi asikitishwa timu yake kukosa support ya mashabiki wa Afrika Kusini

Kocha wa Mamelodi asikitishwa timu yake kukosa support ya mashabiki wa Afrika Kusini

Screenshot_20240405-160054.jpg
 
Kocha wa Mamelodi Sundowns ametoa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikitishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukua ubingwa wa PSL last season uwanja ukiwa empty.

Katika Kile kinachoonekana dhahiri Leo tena Mamelodi wanacheza kama hawapo nyumbani maana mashabiki wengi wa Johannesburg hawataweza kwenda kuisupport Mamelodi Kwa sababu South Africa Saa 4 usiku hakuna train wala tax (daladala South Africa zinaitwa tax).

Hivyo mashabiki wengi wa Johannesburg wanasikitika hawataweza kwenda Pretoria kuipa sapoti timu.

Watu wa Pretoria in dhahiri si watu wa Mpira hawaendi uwanjani mpaka kufikia kubatizwa Jina la utani 57 FC, Yani wana mashabiki 57 tu.

Mamelodi wameshauriwa next time game kubwa wazipeleke Cape town wakapate full support.

Mechi haichezwi saa 4 usiku kwa saa za south.

Mechi inachezwa saa mbili usiku kwa saa za south africa.

Mamelodi sio timu yenye mashabiki wengi.

Mamelodi ni kama Azam kwa Tanzania.

Timu za africa kusini zenye mashabiki wa kujaza uwanja ni Orlando pirates na Kaizer chiefs
 
Kocha wa Mamelodi Sundowns ametoa la moyoni kwenye media za South Africa akielezea kusikitishwa kwake Kwa timu Yao kukosa support ya mashabiki mpaka kufikia wanachukua ubingwa wa PSL last season uwanja ukiwa empty.

Katika Kile kinachoonekana dhahiri Leo tena Mamelodi wanacheza kama hawapo nyumbani maana mashabiki wengi wa Johannesburg hawataweza kwenda kuisupport Mamelodi Kwa sababu South Africa Saa 4 usiku hakuna train wala tax (daladala South Africa zinaitwa tax).

Hivyo mashabiki wengi wa Johannesburg wanasikitika hawataweza kwenda Pretoria kuipa sapoti timu.

Watu wa Pretoria in dhahiri si watu wa Mpira hawaendi uwanjani mpaka kufikia kubatizwa Jina la utani 57 FC, Yani wana mashabiki 57 tu.

Mamelodi wameshauriwa next time game kubwa wazipeleke Cape town wakapate full support.
Huyu kocha anapnekana anapenda Sana hamasa ya mashabiki

Nilimwona akifurahi Sana kuona full house pale kwa Mkapa mpaka akawa anawapigia mashabiki MAKOFI kuwapongeza kwa hamasa na kujitokeza kwa Wingi

Yawezekana hilo vibe analikosa nyumbani
 
Mechi haichezwi saa 4 usiku kwa saa za south.

Mechi inachezwa saa mbili usiku kwa saa za south africa.

Mamelodi sio timu yenye mashabiki wengi.

Mamelodi ni kama Azam kwa Tanzania.

Timu za africa kusini zenye mashabiki wa kujaza uwanja ni Orlando pirates na Kaizer chiefs

Huyo kichakaa wa Jf PHD.

Hajui hata mechi ni saa ngapi kwa saa za south Africa.

Huyo ni PHD PATHETIC.
 
Huyu kocha anapnekana anapenda Sana hamasa ya mashabiki

Nilimwona akifurahi Sana kuona full house pale kwa Mkapa mpaka akawa anawapigia mashabiki MAKOFI kuwapongeza kwa hamasa na kujitokeza kwa Wingi

Yawezekana hilo vibe analikosa nyumbani
Mpira bila mashabiki, ni sawa na chai bila sukari.
 
Habari kutoka nchini Afrika Kusini ni kuwa Kaizer Chiefs Amakhosi4Life tawi la (Atteridgeville) mashabiki wa Kaizer Chiefs leo wataungana na Mashabiki wa Young Africans Pretoria kwenye Dimba la Loftus kuwapa hamasa (Kushangilia ) wachezaji wa Yanga mwanzo mwisho.
Wananchi hawana ugeni kwako kama kwao tu. Kaizer wanasema wanakumbuka mapokezi na sapoti

 
Back
Top Bottom