CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
PHD hewa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHuna akili wewe, hizo account za club zinaendeshwa na maadmin wanafanya Propagation kama Ahmed Ally na Manara tu Jinga wewe.
AMINAMungu ibariki Young Africans
Mungu ibariki Tanzania
Mkuu msamehePHD hewa kabisa.
Mamelodi haina mashabiki kiasi hichoWanarudi kesho yake.
By the way, kama kuna watu wametoka Dar hadi huko, wao wanashindwaje? back to square one, kama wana nia ya kusapoti wangeweza tu kwenda. Mbona Yanga watu walikwengda Kigali?
Kwa sababu huna akili hujui kama mechi itaisha Saa 4 usiku Kwa Saa za South Africa.Mechi haichezwi saa 4 usiku kwa saa za south.
Mechi inachezwa saa mbili usiku kwa saa za south africa.
Mamelodi sio timu yenye mashabiki wengi.
Mamelodi ni kama Azam kwa Tanzania.
Timu za africa kusini zenye mashabiki wa kujaza uwanja ni Orlando pirates na Kaizer chiefs
Kwa sababu huna akili hujui hakuna Mzulu wa kutoka Soweto kwenda Pretoria usiku halafu arudi location Soweto, hakuna usafiri.Kaizer cheef wote wameapa kwenda kuisupport yanga
Kwa sababu huna akili hujui kama mechi itaisha Saa 4 usiku Kwa Saa za South Africa.
Mamelodi ni Azam ya South Africa, elewa hili Kwanza.Wanarudi kesho yake.
By the way, kama kuna watu wametoka Dar hadi huko, wao wanashindwaje? back to square one, kama wana nia ya kusapoti wangeweza tu kwenda. Mbona Yanga watu walikwengda Kigali?
Lack of exposure, wewe hujawahi hata kuvuka mpaka wa Namanga, hujui kabisa kuna nchi zina maisha tofauti Sana.saa 4 usiku ndio mashabiki washindwe kwenda nyumbani, mechi ya simba na Al ahly kwa mkapa iliisha saa ngapi ?
mechi ya yanga vs mamelodi kwa mkapa iliisha saa ngapi ?
Lack of exposure, wewe hujawahi hata kuvuka mpaka wa Namanga, hujui kabisa kuna nchi zina maisha tofauti Sana.
Hiyo Mamelodi siyo timu ya Wazulu, NI timu kama Azam iliyofanyiwa uwekezaji mkubwa na Rais wa CAF.
Wapi nimesema Mamelodi wajaze uwanja?kumbe unajua kama mamelodi haina mashabiki wengi sasa unalia lia nini mamelodi kutojaza uwanja. huku ni kawaida yao kutoujaza.. timu haina mashabiki miaka yote utaifosi vipi ijaze uwanja
Al ahly washakula Al kasusu wanamsubir mwali ghetoSawa. Tumeelewa, asant3 kwa taarifa. Al ahly je??
Wewe ni tutusa tu, siyo PHD, ni PhD mbumbumbu wewe.PHD hewa kabisa.