Kocha wa Mamelodi asikitishwa timu yake kukosa support ya mashabiki wa Afrika Kusini



Una matatizo wewe na huyo kocha
 
Sasa wameendelea nini Sauth Africa mbona huwa mnawasifu sifu sana kwamba wameendelea
Unakosaje tax SAA 4 kwenye mji mkubwa kama huo
Basi hata Mafinga pako juu huwezi kosa daladala za Kinyanambo C saa 4
Hata kama mechi inachezwa Njombe ikiisha SAA 4 huwezi kosa coaster kibao za Iringa mjini unasafiri vizuri tu
Basi Bongo tupo mbali sana kwa huduma za usafiri
Saa 4 Coaster za Singida zipo kibao tu wanakwama wapi SA
 
Sasa wameendelea nini Sauth Africa mbona huwa mnawasifu sifu sana kwamba wameendelea
Unakosaje tax SAA 4 kwenye mji mkubwa kama huo
Basi hata Mafinga Palo juu huwezi kosa daldala za Kinyanambo C saa 4
Kuanzia Saa 4 usiku kama haujapanda public transport utumie meter tax au gari yako binafsi.
 
Tuangalie source za hao Akina Mzanzi , matahira wenzako au tuangali Officill Account ya Mamelody.

Jf Imekuwa na Mipumbavu mingi sana.

Sheenzi type
Huna akili wewe, hizo account za club zinaendeshwa na maadmin wanafanya Propagation kama Ahmed Ally na Manara tu Jinga wewe.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-04-05-15-28-37-77.png
    451.3 KB · Views: 2
Wewe milembe inaruhusu.
Hili jamaa huwa ni taira,mwanzoni nilijifanya chambuzi mara ohh kushambikia Sana yanga na Simba ni ujinga watu wakaliparua kwasasa limechangua upande wa makolo ambako ndo timu yaliyenyewe tangu mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…