Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wakarukaruka na hatimaye wakaondoka na points 3. Gape likiendelea kuwa points 6.Hebu leteni habari za mikimbio ya Musonda bana, kocha wa Simba yupo na kama wewe mwanzisha mada una uhakika kaondoka weka milioni moja na mimi niweke! Uto leo mmerukaruka kama migambo pale Lupaso [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
AsirudiKlabu ya soka ya Simba imetoa taarifa kuwa kocha Mkuu Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda nchini kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa mwezi huu.
View attachment 2493501
Kama ni hivyo juju za Tanga hizoHii ni taarifa rasmi kutokea Klabu ya Simba
Kocha Mkuu Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda nchini kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa mwezi huu. #NguvuMoja
View attachment 2493494
Kwa sababu alimtoa chama?Asirudi
We ukiwanazo timamu zinatosha tusipangiane fikra,usiwe kama shoga kuparamia usivyovijuaKwa sababu alimtoa chama?
Hivi Una akili timamu kweli?
Amesafiri. It's officialHebu leteni habari za mikimbio ya Musonda bana, kocha wa Simba yupo na kama wewe mwanzisha mada una uhakika kaondoka weka milioni moja na mimi niweke! Uto leo mmerukaruka kama migambo pale Lupaso [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Embu niambie basi kwanini kocha asirudi? Nishawishi namimi nifikirie kama wewe.We ukiwanazo timamu zinatosha tusipangiane fikra,usiwe kama shoga kuparamia usivyovijua
Wewe tayari umeshaona fikra zangu ni hasi siwezi kukubadilishaEmbu niambie basi kwanini kocha asirudi? Nishawishi namimi nifikirie kama wewe.
Sijaomba unibadilishe, nimeomba unieleweshe Tu hakuna ubaya, labda ntabadilisha mtazamaoWewe tayari umeshaona fikra zangu ni hasi siwezi kukubadilisha
Wamemroga kocha?Tanga sio watu wazuri