Klabu ya soka ya Simba imetoa taarifa kuwa kocha Mkuu Roberto Oliveira ameondoka usiku huu kwenda nchini kwao Brazil kwa shughuli binafsi za kifamilia na anatarajiwa kurejea nchini mwishoni mwa mwezi huu.
 
Wakarukaruka na hatimaye wakaondoka na points 3. Gape likiendelea kuwa points 6.
 
Kocha mtata sana acha asepe, kocha gani unapanga kikosi unaziacha silaha za maangamizi benchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…