Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Ndio ndio genta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa au basi...GENTAMYCINE mapema sana tena hapa hapa JamiiForums NILIONYA kuwa kama analetwa Kocha Mpya na Mgeni basi hakikisheni hawa Wazawa na Waswahili Wenzetu tunaowajua ni Mabingwa wa Majungu, Fitna, Wivu na Uchawi ( Ushirikina ) wasibakie kwani Watamharibia na Kumhujumu hamkunisikia na sasa niliyoyatabiri mapema tu yametimia au yanaenda Kutimia.
Ipo Siku mtanijengea Sanamu hapa!!
Nakubaliana nawe kwa hili tena 100%Simba now haina uongozi imara hata kidogo
Kawaambia Simba SC yake hakuna Nyota ( Galacha ) na kwamba Kwake Yeye Wachezaji wote ni sawa Wanamwambia tena kwa Kumtisha kuwa Chama ndiyo Simba SC hivyo achague abakie Yeye au Chama na kaamua kuwaonyesha kuwa hatishwi halafu anatokea katika Taifa ambalo Soka / Fabo / Ndiki ndiyo Nyumbani ( Makao Makuu ) yake Kudadadeki.Kuna mpya gani tena? Kocha amefukuzwa au kuna nini kimetokea?
Labda mkampigie Magoti Kwao Brazil.Mkuu! Kwahiyo kocha hatunaye tena!?
Mkuu! Kwahiyo kocha hatunaye tena!?Kawaambia Simba SC yake hakuna Nyota ( Galacha ) na kwamba Kwake Yeye Wachezaji wote ni sawa Wanamwambia tena kwa Kumtisha kuwa Chama ndiyo Simba SC hivyo achague abakie Yeye au Chama na kaamua kuwaonyesha kuwa hatishwi halafu anatokea katika Taifa ambalo Soka / Fabo / Ndiki ndiyo Nyumbani ( Makao Makuu ) yake Kudadadeki.
Tupo bize na kampeniKocha anawaambieni Kwake Yeye ndani ya Simba SC hakuna Nyota ( Galacha ) na Nidhamu ndiyo Kipaumbele chake Viongozi wazima mnamwambia kama hampangi Chama basi achague Kuondoka na sasa Kawaonyesheni kuwa hatishwi
Hebu leteni habari za mikimbio ya Musonda bana, kocha wa Simba yupo na kama wewe mwanzisha mada una uhakika kaondoka weka milioni moja na mimi niweke! Uto leo mmerukaruka kama migambo pale Lupaso [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Duh!Labda mkampigie Magoti upesi sana.
Wazungu huwa hawafagilii Uswahili.
Unauliza Condom Gesti?Mkuu! Kwahiyo kocha hatunaye tena!?
Thanks Chief and that's why I'm this Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Okay?Daaaah GENTAMYCINE jamaa uko directly kama wazungu